Riz king
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 275
- 547
Kuna bwana mdogo wangu alipata multiple selection kwa kwa third round, alipata UDOM na SAUT Mbeya lakn aka confirm UDOM (BAED) sasa anauliza kuhusu admission letter kuwa hajatumiwa kwenye profile yake. Hivo kama kuna wana UDOM wameshapata hizi letters kwa third round mtupe mrejesho. Natanguliza shukrani