Mnisaidie jamani tafadhali

Dada mi nilitarajia ushauri mzuri,lakin mbona tunakua hivi? Plz mi niko serious,help me

umesema pesa si tatizo!!! me ndo zawadi nayoona ya maana kwa sababu itajizungusha na kuzalisha mara mia moja...... okey basi kwa kuwa we unataka zawadi za kawaida basi mnunulie nguo, simu au pochi.....
 
hii ndo siku nzuri ya kumvalisha engagement ring! au pia huna pesa ya kununua hiyo ring? ukifanya hivyo atapagawaje?
 

ngoja wakusaidie kumchagulia na watakusaidia na mengine
 
Buy her a nice gold watch kama yeye ni brown (mweupe) kama maji ya kunde/mweusi silver is prefered.

 
Kama mkristo mpelekee bible na kitu kingine chochote. Kama, account ya benki ambayo ina matawi na atm chache sana. Itawasaidia kusave kwa maendeleo mtakapoanza maisha.
 
mh! pesa si tataizo???????
heri yako ww, hope utakuwa unafahamu anapendelea vitu gani; nenda kile bora ktk prefernces zake unazozifahamu; ataifurahia sana.
 
We c unajifanya una pesa,mnunulie helcopter bac.
 
Bible alishapewa zawadi alipopata kipaimara ama kubatizwa (kama ni mpentekoste ama msabato). Hebu acha kumbania mchuchu wa mwenzio banaa.
Kama mkristo mpelekee bible na kitu kingine chochote. Kama, account ya benki ambayo ina matawi na atm chache sana. Itawasaidia kusave kwa maendeleo mtakapoanza maisha.
 
km kweli unampenda basi huo ni muda muafaka wa kupropose......akikubali basi tena twaja kula ubwabwa...
 
Mualike Diamond amkatikie mauno kwenye sherehe yake ya graduu...!!! Special for her. She will never forget that.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…