Mnisaidie jamani tafadhali

Mnisaidie jamani tafadhali

Ushirombo

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
3,558
Reaction score
2,711
nina mchumba ambae ana graduate jumamosi hii ya keshokutwa,kikubwa najiuliza ni zawadi gani ninunue itamfurahisha mpenzi wangu ambae atakua mke wangu soon na ataithamini? Nimekua siku zote shallow sana kununua zawadi,tatizo si pesa ila uchaguzi,naombeni tafadhali mnisaidie
 
nina mchumba ambae ana graduate jumamosi hii ya keshokutwa,kikubwa najiuliza ni zawadi gani ninunue itamfurahisha mpenzi wangu ambae atakua mke wangu soon na ataithamini? Nimekua siku zote shallow sana kununua zawadi,tatizo si pesa ila uchaguzi,naombeni tafadhali mnisaidie

Una muda gani tangu uwe nae?
Na una umri gani?
 
Kama tatizo ci pesa ingekuwa vizur sana ungemchukulia hata noan tu ingemcaidia
 
nunua nguo ambazo ziko chat!! na unazohis kuwa anazipenda na wewe unazipenda!!!nenda duka la viatu!! mchagulie kiatu kizuri unachoamini kitamutoa!!!
 
pamoja na zawad zote muapie kutomsaliti daima
 
nina mchumba ambae ana graduate jumamosi hii ya keshokutwa,kikubwa najiuliza ni zawadi gani ninunue itamfurahisha mpenzi wangu ambae atakua mke wangu soon na ataithamini? Nimekua siku zote shallow sana kununua zawadi,tatizo si pesa ila uchaguzi,naombeni tafadhali mnisaidie

Mvishe Pete ya uchumba...
three-stones-engagement-ring.jpg

marriage-proposal.jpg

 
nina mchumba ambae ana graduate jumamosi hii ya keshokutwa,kikubwa najiuliza ni zawadi gani ninunue itamfurahisha mpenzi wangu ambae atakua mke wangu soon na ataithamini? Nimekua siku zote shallow sana kununua zawadi,tatizo si pesa ila uchaguzi,naombeni tafadhali mnisaidie

engagement-ring.jpg
 
Kama hujamvisha pete bado basi mvishe pete ya uchumba. Kama pete tayari na pesa si tatizo basi range ni kubwa kwanzia vito vya dhahabu mpaka magari!!! Zote hizo atafurahia na vinadumu muda mrefu na anaweza tumia anytime!! Gari asipate shida akianza kazi loh!!
 
mnunulie scania ya mizigo aanze biashara soon!!!! na hii akiweza simamia vizuri atanunua noha , range, costa na mambo kama hayo.... nguo na kila kitu atakacho.....
 

Attachments

  • scania.jpg
    scania.jpg
    52.4 KB · Views: 85
mnunulie scania ya mizigo aanze biashara soon!!!! na hii akiweza simamia vizuri atanunua noha , range, costa na mambo kama hayo.... nguo na kila kitu atakacho.....

Dada mi nilitarajia ushauri mzuri,lakin mbona tunakua hivi? Plz mi niko serious,help me
 
pete kaka na iwe inamaanisha kweli co kumvisha pete afu unakuja timuka
 
Back
Top Bottom