Value ya huo mzigo tsh 25,000,000×4kg=100,000,000tsh
Tuone sasa hyo vita yao ya kupambana na madawa hapo,polisi wambane huyo jamaa?mzigo huo kauchkua kwa nani?
Je hapo airport alikuwa na mchongo wowote jinsi ya kupitisha. ...maana kuna mchezo unafanyikaga ndani humo kupitisha ungaaa
No!ile itakuwa ni ajali kazini
Ikiwa vp wambane jamaa awambie huo mzigo alichkua kwa nani!ila mara nyingi wanaokamatwaga huwa hawamtaji aliyempa unga....kwa kuadiwa kuwa watamsaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.