Mnigeria ashikwa na 'mzigo cha maana' JNIA

singidadodoma

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
4,394
1,536
12460062_1017538434977281_399149511_n.jpg
 
Value ya huo mzigo tsh 25,000,000×4kg=100,000,000tsh
Tuone sasa hyo vita yao ya kupambana na madawa hapo,polisi wambane huyo jamaa?mzigo huo kauchkua kwa nani?
Je hapo airport alikuwa na mchongo wowote jinsi ya kupitisha. ...maana kuna mchezo unafanyikaga ndani humo kupitisha ungaaa

Ovaaa
 
Naona sasa kazi imeanza vipele vimeanza kukamuliwa sijui majipu zamu yake itakuwa lini.
 
Naona sasa kazi imeanza vipele vimeanza kukamuliwa sijui majipu zamu yake itakuwa lini.
No!ile itakuwa ni ajali kazini
Ikiwa vp wambane jamaa awambie huo mzigo alichkua kwa nani!ila mara nyingi wanaokamatwaga huwa hawamtaji aliyempa unga....kwa kuadiwa kuwa watamsaidia
 
Back
Top Bottom