Hebie
JF-Expert Member
- Jul 29, 2012
- 1,415
- 859
Kama wote tulivyoshuhudia tangu siku ya kwanza maandalizi ya zoezi la upigaji kura, hadi sasa kinachoendelea ni kituko ambacho hata dunia huenda imepigwa butwaa.
Mawakala wa upinzani kufanyiwa figisu ili wasiingie ndani vituo vya kupigia kura.
Kuandaa kura feki zilizopigwa kabisa nje ya vituo vya kupigia kura.
Kuwatangaza washindi wenu tofauti na washindi halali.
Yote hay ya nini Kama mlipanga muwe washindi peke yenu mliandaa mashindano ya nini?
Ninyi mna vyombo vyote vya usalama(jei dabiliu, polisi TISS, NEC na ZEC, hivyo mngetutangazia kuwa jamanieee uchaguzi hatutafanya Ila tutateuana tu, hii ingesaidia Mambo mengi mfano.
Ingeokoa fedha nyingi sana ambazo zimetumika katika zoezi zima la uaandaji na upigaji kura.
Na vilevile siku hiyo isingekuwa off kwa wafanyakazi wangeenda kuchapa kazi ili kuinua kipato Cha taifa.
Nawatakia kazi njema.
Mawakala wa upinzani kufanyiwa figisu ili wasiingie ndani vituo vya kupigia kura.
Kuandaa kura feki zilizopigwa kabisa nje ya vituo vya kupigia kura.
Kuwatangaza washindi wenu tofauti na washindi halali.
Yote hay ya nini Kama mlipanga muwe washindi peke yenu mliandaa mashindano ya nini?
Ninyi mna vyombo vyote vya usalama(jei dabiliu, polisi TISS, NEC na ZEC, hivyo mngetutangazia kuwa jamanieee uchaguzi hatutafanya Ila tutateuana tu, hii ingesaidia Mambo mengi mfano.
Ingeokoa fedha nyingi sana ambazo zimetumika katika zoezi zima la uaandaji na upigaji kura.
Na vilevile siku hiyo isingekuwa off kwa wafanyakazi wangeenda kuchapa kazi ili kuinua kipato Cha taifa.
Nawatakia kazi njema.