Mnazipendea nini hidden roof house?

Ah namuona jamaa kapanik
Hizo style za bat huon zimejaa kwa wachina huko na south america
 
Nyumba ya aina hii usijenge kama una hela ya mawazo...... utanishukuru
 
Yaani umeongea maneno ya kiufundi mpaka mimi nimstameza kuna sehemu wanajenga nimepita nikamuuliza fundi vipi hapo ushaweka duct au bado?

Ameishia kunitolea macho mimi ninayemuuliza hata mie sielewi ila kikubwa wajue na mimi najua kidogo mambo ya ufundi .
 
Hao hawaweki zege badala yake wanatumia mabati ndio maana zinavuja
 
Pole sana, pia asante kutusanua tuliokuwa na mawazo ya kujenga aina hiyo ya nyumba
 
Mkuu kuwachamba watu sio fair. Ungesema hivyo ni vitu gani ili wadau waweze kuwachallenge mafundi na kufanya maamuzi sahihi
 
Hizi nyumba zinawatesa wengi sana,kuna nyumba moja nilipelekwa na dalali,yani mpaka nilimuonea huruma mwenye nyumba,ni nyumba kubwa vyumba 3,master bedroom safi,jiko,choo na stoo ndani,iko fenced na pavements za kutosha,lakini kila chumba ukiangalia juu gypsum zimelowana vibaya...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…