NACTE mmetupa majibu bila ya uthibitisho chuoni (confirmation) sasa tuwaelewe vipi mana hatujui hatima yetu hadi Lini Mana Nimeenda chuo kuchukua Admission latter nimeambiwa hatukutambui jina lako halipo. Daah mwenye kujua zaidi kuhusu hili tupeane ushauri...!!
NACTE mmetupa majibu bila ya uthibitisho chuoni (confirmation) sasa tuwaelewe vipi mana hatujui hatima yetu hadi Lini Mana Nimeenda chuo kuchukua Admission latter nimeambiwa hatukutambui jina lako halipo. Daah mwenye kujua zaidi kuhusu hili tupeane ushauri...!!
sasa me nashindwa kuelewa hizo confirmation ni nini hasa ni kwenda chuoni au kusubiri mpaka chuo kitoe majina na je majina hayo yanatoka lini au mpaka deadline ipite ambapo siku zinakuwa zimeisha kabisa au ndio wanasubir wale wa tcu wa third round majina yatoke kwa pamoja yani tumechaguliwa ila uthibitisho unatuweka tumbo joto
Kama uliweza kusubiri kipindi kirefu cha matokeo mkuu unashindwa haka ka ng'we kalikobaki?!ni suala la kuomba mungu na muda tu,kila kitu kitakuwa sawa,wala hutakiwi kuwa na kihoro!
Kama uliweza kusubiri kipindi kirefu cha matokeo mkuu unashindwa haka ka ng'we kalikobaki?!ni suala la kuomba mungu na muda tu,kila kitu kitakuwa sawa,wala hutakiwi kuwa na kihoro!
Tatzo sio kusubiri mkuu bali ni nacte kwenda na tarehe ya chuo husika ..maana inaonesha wazi kuwa nacte..tcu ..heslb na vyuo mawasiliano yao hayapo fast kama inavyotakiwa ..kila mtu anafnya yake kwa mda wake mwenyew anapojiskia bila kujua kila mtu ana mda wake
Tatzo sio kusubiri mkuu bali ni nacte kwenda na tarehe ya chuo husika ..maana inaonesha wazi kuwa nacte..tcu ..heslb na vyuo mawasiliano yao hayapo fast kama inavyotakiwa ..kila mtu anafnya yake kwa mda wake mwenyew anapojiskia bila kujua kila mtu ana mda wake