Mnatamani kuwa kama Rwanda, tukifanya mnalalamika

PendoLyimo

JF-Expert Member
Sep 30, 2014
879
956
Gharama za kujikwamua kwenye kwenye lindi la umasikini lazima ziwe na malalamiko. malalamiko hayo mara nyingi hufanana. Kwa makundi ya wanaoleta haya malalamiko huwa ni ya watu wa aina ileile, tena huja na sababu zilezile.

Ukifuatilia kwa umakini, utatambua kwamba mfanano wa hawa watu ni mkubwa sana hadi utakubaliana na ule msemo wa kiingereza kwamba "History does not repeat itself, but people do repeat themselves".

Zilipokuwa zinakuja takwimu Kenya anaongoza kwa kuuza madini ya Tanzanite tulilalamika.
Mlima Kilimanjaro upo Kenya tulilalamika.
Hatuna ndege hata moja tulilalamika.
Mbona Rwanda anatangaza sana utalii tulilalamika.
Fanya uchunguzi wako
utaona haya..!

Raisi Samia Suluhu Hassan aliamua kwa dhati nchi yetu itangaze utalii wetu ili kuwezesha Tanzania kurudi kwenye biashara ya Utalii kutokana na janga la UVIKO19 utalii uliathirika sana lakini pia tulikuwa hatufanyi vizuri kwenye utalii wetu Licha ya kuwa na vivutio kibao.

Lengo kubwa ni kusaidia kiuchumi ukanda wa maeneo yanayotegemea Utalii kimandeleo, kwa kutoa ajira kwa vijana na kusukuma uchumi wa Utalii katika nchi.

Jirani yetu Rwanda amefanya Royal Tour haitoshi amewekeza kwenye klabu kubwa ulaya Arsenal na PSG yote hii ni kwa ajili ya Utalii. Pale Rwanda kuna Gorilla na sokwe.

Tanzania yenye mbuga kubwa 5, kisiwa cha Zanzibar. Historical sites kibao. Kimondo cha Mbozi na vivutio vingine kufanya Royal Tour mnataka kuleta kelele.

Rais ameona tukiendelea kufanya mchezo tutaachwa mbali sababu kila nchi ina vivutio vyake na namna ya kutangaza Utalii wake.

Sasa Dunia inajua
• Mlima kilimanjaro upo Tanzania.
• Tanzania ina vivutio vingi vya Utalii.
• Madini ya Tanzanite yanapatika Tanzania pekee
• Uzuri wa kisiwa cha Zanzibar
 
Gharama za kujikwamua kwenye kwenye lindi la umasikini lazima ziwe na malalamiko. malalamiko hayo mara nyingi hufanana. Kwa makundi ya wanaoleta haya malalamiko huwa ni ya watu wa aina ileile, tena huja na sababu zilezile.

Ukifuatilia kwa umakini, utatambua kwamba mfanano wa hawa watu ni mkubwa sana hadi utakubaliana na ule msemo wa kiingereza kwamba "History does not repeat itself, but people do repeat themselves".

Zilipokuwa zinakuja takwimu Kenya anaongoza kwa kuuza madini ya Tanzanite tulilalamika.
Mlima Kilimanjaro upo Kenya tulilalamika.
Hatuna ndege hata moja tulilalamika.
Mbona Rwanda anatangaza sana utalii tulilalamika.
Fanya uchunguzi wako
utaona haya..!

Raisi Samia Suluhu Hassan aliamua kwa dhati nchi yetu itangaze utalii wetu ili kuwezesha Tanzania kurudi kwenye biashara ya Utalii kutokana na janga la UVIKO19 utalii uliathirika sana lakini pia tulikuwa hatufanyi vizuri kwenye utalii wetu Licha ya kuwa na vivutio kibao.

Lengo kubwa ni kusaidia kiuchumi ukanda wa maeneo yanayotegemea Utalii kimandeleo, kwa kutoa ajira kwa vijana na kusukuma uchumi wa Utalii katika nchi.

Jirani yetu Rwanda amefanya Royal Tour haitoshi amewekeza kwenye klabu kubwa ulaya Arsenal na PSG yote hii ni kwa ajili ya Utalii. Pale Rwanda kuna Gorilla na sokwe.

Tanzania yenye mbuga kubwa 5, kisiwa cha Zanzibar. Historical sites kibao. Kimondo cha Mbozi na vivutio vingine kufanya Royal Tour mnataka kuleta kelele.

Rais ameona tukiendelea kufanya mchezo tutaachwa mbali sababu kila nchi ina vivutio vyake na namna ya kutangaza Utalii wake.

Sasa Dunia inajua
• Mlima kilimanjaro upo Tanzania.
• Tanzania ina vivutio vingi vya Utalii.
• Madini ya Tanzanite yanapatika Tanzania pekee
• Uzuri wa kisiwa cha Zanzibar

mbona huongei gharama za kupanda vitu
 
Gharama za kujikwamua kwenye kwenye lindi la umasikini lazima ziwe na malalamiko. malalamiko hayo mara nyingi hufanana. Kwa makundi ya wanaoleta haya malalamiko huwa ni ya watu wa aina ileile, tena huja na sababu zilezile.

Ukifuatilia kwa umakini, utatambua kwamba mfanano wa hawa watu ni mkubwa sana hadi utakubaliana na ule msemo wa kiingereza kwamba "History does not repeat itself, but people do repeat themselves".

Zilipokuwa zinakuja takwimu Kenya anaongoza kwa kuuza madini ya Tanzanite tulilalamika.
Mlima Kilimanjaro upo Kenya tulilalamika.
Hatuna ndege hata moja tulilalamika.
Mbona Rwanda anatangaza sana utalii tulilalamika.
Fanya uchunguzi wako
utaona haya..!

Raisi Samia Suluhu Hassan aliamua kwa dhati nchi yetu itangaze utalii wetu ili kuwezesha Tanzania kurudi kwenye biashara ya Utalii kutokana na janga la UVIKO19 utalii uliathirika sana lakini pia tulikuwa hatufanyi vizuri kwenye utalii wetu Licha ya kuwa na vivutio kibao.

Lengo kubwa ni kusaidia kiuchumi ukanda wa maeneo yanayotegemea Utalii kimandeleo, kwa kutoa ajira kwa vijana na kusukuma uchumi wa Utalii katika nchi.

Jirani yetu Rwanda amefanya Royal Tour haitoshi amewekeza kwenye klabu kubwa ulaya Arsenal na PSG yote hii ni kwa ajili ya Utalii. Pale Rwanda kuna Gorilla na sokwe.

Tanzania yenye mbuga kubwa 5, kisiwa cha Zanzibar. Historical sites kibao. Kimondo cha Mbozi na vivutio vingine kufanya Royal Tour mnataka kuleta kelele.

Rais ameona tukiendelea kufanya mchezo tutaachwa mbali sababu kila nchi ina vivutio vyake na namna ya kutangaza Utalii wake.

Sasa Dunia inajua
• Mlima kilimanjaro upo Tanzania.
• Tanzania ina vivutio vingi vya Utalii.
• Madini ya Tanzanite yanapatika Tanzania pekee
• Uzuri wa kisiwa cha Zanzibar
Allah ibark Tz, na mpe maisha maref Suluhu, our planner
 
Gharama za kujikwamua kwenye kwenye lindi la umasikini lazima ziwe na malalamiko. malalamiko hayo mara nyingi hufanana. Kwa makundi ya wanaoleta haya malalamiko huwa ni ya watu wa aina ileile, tena huja na sababu zilezile.

Ukifuatilia kwa umakini, utatambua kwamba mfanano wa hawa watu ni mkubwa sana hadi utakubaliana na ule msemo wa kiingereza kwamba "History does not repeat itself, but people do repeat themselves".

Zilipokuwa zinakuja takwimu Kenya anaongoza kwa kuuza madini ya Tanzanite tulilalamika.
Mlima Kilimanjaro upo Kenya tulilalamika.
Hatuna ndege hata moja tulilalamika.
Mbona Rwanda anatangaza sana utalii tulilalamika.
Fanya uchunguzi wako
utaona haya..!

Raisi Samia Suluhu Hassan aliamua kwa dhati nchi yetu itangaze utalii wetu ili kuwezesha Tanzania kurudi kwenye biashara ya Utalii kutokana na janga la UVIKO19 utalii uliathirika sana lakini pia tulikuwa hatufanyi vizuri kwenye utalii wetu Licha ya kuwa na vivutio kibao.

Lengo kubwa ni kusaidia kiuchumi ukanda wa maeneo yanayotegemea Utalii kimandeleo, kwa kutoa ajira kwa vijana na kusukuma uchumi wa Utalii katika nchi.

Jirani yetu Rwanda amefanya Royal Tour haitoshi amewekeza kwenye klabu kubwa ulaya Arsenal na PSG yote hii ni kwa ajili ya Utalii. Pale Rwanda kuna Gorilla na sokwe.

Tanzania yenye mbuga kubwa 5, kisiwa cha Zanzibar. Historical sites kibao. Kimondo cha Mbozi na vivutio vingine kufanya Royal Tour mnataka kuleta kelele.

Rais ameona tukiendelea kufanya mchezo tutaachwa mbali sababu kila nchi ina vivutio vyake na namna ya kutangaza Utalii wake.

Sasa Dunia inajua
• Mlima kilimanjaro upo Tanzania.
• Tanzania ina vivutio vingi vya Utalii.
• Madini ya Tanzanite yanapatika Tanzania pekee
• Uzuri wa kisiwa cha Zanzibar
Nani amekwambia watanzania wanataka kua kama rwanda? Rwanda sera yao ni uzalendo wa kimbari. Kwamba mbari fulani ndio itaongoza taifa. Au ndio wanataka kuleta tz hawa anti magufulists walioko serikalini?
 
Gharama za kujikwamua kwenye kwenye lindi la umasikini lazima ziwe na malalamiko. malalamiko hayo mara nyingi hufanana. Kwa makundi ya wanaoleta haya malalamiko huwa ni ya watu wa aina ileile, tena huja na sababu zilezile.

Ukifuatilia kwa umakini, utatambua kwamba mfanano wa hawa watu ni mkubwa sana hadi utakubaliana na ule msemo wa kiingereza kwamba "History does not repeat itself, but people do repeat themselves".

Zilipokuwa zinakuja takwimu Kenya anaongoza kwa kuuza madini ya Tanzanite tulilalamika.
Mlima Kilimanjaro upo Kenya tulilalamika.
Hatuna ndege hata moja tulilalamika.
Mbona Rwanda anatangaza sana utalii tulilalamika.
Fanya uchunguzi wako
utaona haya..!

Raisi Samia Suluhu Hassan aliamua kwa dhati nchi yetu itangaze utalii wetu ili kuwezesha Tanzania kurudi kwenye biashara ya Utalii kutokana na janga la UVIKO19 utalii uliathirika sana lakini pia tulikuwa hatufanyi vizuri kwenye utalii wetu Licha ya kuwa na vivutio kibao.

Lengo kubwa ni kusaidia kiuchumi ukanda wa maeneo yanayotegemea Utalii kimandeleo, kwa kutoa ajira kwa vijana na kusukuma uchumi wa Utalii katika nchi.

Jirani yetu Rwanda amefanya Royal Tour haitoshi amewekeza kwenye klabu kubwa ulaya Arsenal na PSG yote hii ni kwa ajili ya Utalii. Pale Rwanda kuna Gorilla na sokwe.

Tanzania yenye mbuga kubwa 5, kisiwa cha Zanzibar. Historical sites kibao. Kimondo cha Mbozi na vivutio vingine kufanya Royal Tour mnataka kuleta kelele.

Rais ameona tukiendelea kufanya mchezo tutaachwa mbali sababu kila nchi ina vivutio vyake na namna ya kutangaza Utalii wake.

Sasa Dunia inajua
• Mlima kilimanjaro upo Tanzania.
• Tanzania ina vivutio vingi vya Utalii.
• Madini ya Tanzanite yanapatika Tanzania pekee
• Uzuri wa kisiwa cha Zanzibar
Nchi hii wajinga wenye kuvaa masuti na tai na kuendesha magari yanayouzwa shilingi milioni hamsini, ni wengi kuliko wale wanaotambuliwa kama ndio wenye nafasi zao za kuitwa wajinga.
 
Gharama za kujikwamua kwenye kwenye lindi la umasikini lazima ziwe na malalamiko. malalamiko hayo mara nyingi hufanana. Kwa makundi ya wanaoleta haya malalamiko huwa ni ya watu wa aina ileile, tena huja na sababu zilezile.

Ukifuatilia kwa umakini, utatambua kwamba mfanano wa hawa watu ni mkubwa sana hadi utakubaliana na ule msemo wa kiingereza kwamba "History does not repeat itself, but people do repeat themselves".

Zilipokuwa zinakuja takwimu Kenya anaongoza kwa kuuza madini ya Tanzanite tulilalamika.
Mlima Kilimanjaro upo Kenya tulilalamika.
Hatuna ndege hata moja tulilalamika.
Mbona Rwanda anatangaza sana utalii tulilalamika.
Fanya uchunguzi wako
utaona haya..!

Raisi Samia Suluhu Hassan aliamua kwa dhati nchi yetu itangaze utalii wetu ili kuwezesha Tanzania kurudi kwenye biashara ya Utalii kutokana na janga la UVIKO19 utalii uliathirika sana lakini pia tulikuwa hatufanyi vizuri kwenye utalii wetu Licha ya kuwa na vivutio kibao.

Lengo kubwa ni kusaidia kiuchumi ukanda wa maeneo yanayotegemea Utalii kimandeleo, kwa kutoa ajira kwa vijana na kusukuma uchumi wa Utalii katika nchi.

Jirani yetu Rwanda amefanya Royal Tour haitoshi amewekeza kwenye klabu kubwa ulaya Arsenal na PSG yote hii ni kwa ajili ya Utalii. Pale Rwanda kuna Gorilla na sokwe.

Tanzania yenye mbuga kubwa 5, kisiwa cha Zanzibar. Historical sites kibao. Kimondo cha Mbozi na vivutio vingine kufanya Royal Tour mnataka kuleta kelele.

Rais ameona tukiendelea kufanya mchezo tutaachwa mbali sababu kila nchi ina vivutio vyake na namna ya kutangaza Utalii wake.

Sasa Dunia inajua
• Mlima kilimanjaro upo Tanzania.
• Tanzania ina vivutio vingi vya Utalii.
• Madini ya Tanzanite yanapatika Tanzania pekee
• Uzuri wa kisiwa cha Zanzibar
PendoLyimo ujinga ni tatizo kubwa sana kwa Watanzania!

Usipofanya lawama, ukifanya lawama. Bora Rais Samia anafanya na matunda ya hili jambo yataonekana kwa wote wenye akili na wasio na akili
 
Kwa hiyo watalii wote miaka yote tupo Arusha walikuwa wanaletwa na hewa kabla ya hii royal tour yako?

Inafaa Ukiwa serious once in your life. Wazungu wengi hawajui na wala hawataki kujua kinachoendelea nchi Kama zetu. Kenya walijitangaza sana kuhusu mlima Kilimanjaro. Na Ukweli kabisa unaongea na hawa wajerumani wanasema Mlima K upo Kenya na ndo hupanga safari hivyo.
 
Nchi hii wajinga wenye kuvaa masuti na tai na kuendesha magari yanayouzwa shilingi milioni hamsini, ni wengi kuliko wale wanaotambuliwa kama ndio wenye nafasi zao za kuitwa wajinga.

..Tuige mazuri toka Rwanda.

..Tuache kuiga mambo yasiyo na tija toka Rwanda.

..Moja ya jambo lisilo na tija tuliwaiga Wanyarwanda ni ununuzi wa ndege.

..Rwanda wamekuwa wakipata hasara kila mwaka ktk shirika lao la ndege. Watanzania tuliponunua ndege serikali ikasema imejifunza toka Rwanda.

..Jambo lingine ambalo hatutakiwi kuwaiga Wanyarwanda ni siasa zao za kidikteta, kikatili, na kikabila.

..Mwisho, tuige usafi wa majiji ya Rwanda. Tuige utunzaji mazingira. Tuige ufanisi na nidhamu kazini.
 
Back
Top Bottom