Mnapajua Makalio Baa Arusha.....................?

Mtambuzi

Platinum Member
Joined
Oct 29, 2008
Posts
8,809
Reaction score
15,438
Nimepakumbuka hapa mahali........................!

 
we sema ****** Bar sio makalio unatuchanganya
 
halafu we mtambuzi nimekuona ukipiga hii picha leo hapa ****** bar
 
halafu we mtambuzi nimekuona ukipiga hii picha leo hapa ****** bar

Ha ha ha ha haaaaaaa......Huyo jamaa mwenye Kiroba mfukoni ni Chalii yangu tulikuwa tunapata Ugali wa Muhogo na Samaki wa Mwanza..............
 
Ipo bana........ hapo karibu na Tenki la maji Mianzini jirani kabisa na kwa Dr. Mohamed.................
jirani na Dr mohamed ni tank la maji na Lenana Resort,mkuu vipi viroba vimepanda nini?
 
mi sipajui hapo wap? matejo au?
yaani hii bar ina kigezo kimoja tu cha kuajiri muhudumu:unatakiwa kuwa na 'Masaburi makubwa'
kwa wewe mtoto sikushauri uitembelee kabisa!
 
yaani hii bar ina kigezo kimoja tu cha kuajiri muhudumu:unatakiwa kuwa na 'Masaburi makubwa'
kwa wewe mtoto sikushauri uitembelee kabisa!

Ha ha ha haaaaaaa............... We Nouma mzee.
Halafu unajua nini Chalii yangu, hata ile kitu inapatikana hapo...........nadhani umenielewa
 
mbona unakuja arusha kimya kimya?wanajamvi wa arusha wanajuana mkuu

Nilikuwa Bize sana na sikupata muda wa kuingia Net na Black Berry huko zinasumbua........Net haikamati kabisaa.
Pale stand ipo Cafe moja lakini nayo kimeo tu.........
 
Nilikuwa Bize sana na sikupata muda wa kuingia Net na Black Berry huko zinasumbua........Net haikamati kabisaa.
Pale stand ipo Cafe moja lakini nayo kimeo tu.........
bize na masaburi nini???najua pale ikifika saa sita sita wahudumu huadimika ghafla sijui kuna nini pale?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…