Mnaozindika nyumba

Kuibariki nyumba ni rahisi kama kubariki chakula lakini sana hata hao wachawi hawafuati nyumba bali waliomo ndani

yake hivyo hakikisha kwamba wewe mwenyewe KRISTO YESU anaishi ndani mwako otherwise ni kutwanga maji kwenye kinu tu.
 

mimi hapa niroge sasa!
 
Kuibariki nyumba ni rahisi kama kubariki chakula lakini sana hata hao wachawi hawafuati nyumba bali waliomo ndani

yake hivyo hakikisha kwamba wewe mwenyewe KRISTO YESU anaishi ndani mwako otherwise ni kutwanga maji kwenye kinu tu.

Exactly, issue sio nyumba sehemu yoyote ulipo unafuatwa then unapigwa juju!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…