Mnaotumia iOS hii inawahusu

Mnaotumia iOS hii inawahusu

mujemaso

Senior Member
Joined
Apr 26, 2012
Posts
112
Reaction score
44
Habari zenu wadau.

Napenda kuwafahamisha wale ambao wanatumia iOS kuwa kuna application inaitwa: "App of the Day" uki - install huwa inakupa taarifa za paid apps ambazo ni free kwa siku hiyo. Kila siku Kunakuwa na paid app ya bure mfano leo Runtastic pro (kwa wale wanaopenda mazoezi mbalimbali) iko free kwa saa 24. Mimi nishaokoa zaidi ya $50 kwa kutumia app hii.

Samahani kama nimerudia information ambayo tayari inafahamika, nimeona itakuwa vizuri kushare na wale ambao hawajui.
 
Google play nao watukubuke basi, online payments kwa Bongo bado ni kitendawili!!
 
Playstore ya nn wakati zipo app nyingi tu zinaruhusu upakue bure app za kulipia
 
Google play nao watukubuke basi, online paying kwa Bongo bado ni kitendawili!!

Ni kweli kabisa ulichoongea, kulipia online hapa kwetu ni shida, mi nimeactivate visa card yangu lakini bado ni mgogoro ninapotaka kulipia. Kuhusu Google, wataanza tu...
 
Playstore ya nn wakati zipo app nyingi tu zinaruhusu upakue bure app za kulipia

Niliwahi kununua apps kwa kutumia account ya rafiki yangu overseas,hutaamini hizi apps za bure zina mapungufu sana tu!!
 
Ni kweli kabisa ulichoongea, kulipia online hapa kwetu ni shida, mi nimeactivate visa card yangu lakini bado ni mgogoro ninapotaka kulipia. Kuhusu Google, wataanza tu...

Hakuna mgogoro wowote kulipa online. Mimi natimia visa card ya crdb na nbc. Nimeunganisha kwenye paypal na sijawahi kupata tatizo la kulipa online. Napakua software zote za kununua na nunua vitu kwenye mtandao, nalipa ada mbalimbali, natoa hela kwenye atm nchi za watu. Kimsingi hakuna problem yeyote. Jipangeni tu
 
Hakuna mgogoro wowote kulipa online. Mimi natimia visa card ya crdb na nbc. Nimeunganisha kwenye paypal na sijawahi kupata tatizo la kulipa online. Napakua software zote za kununua na nunua vitu kwenye mtandao, nalipa ada mbalimbali, natoa hela kwenye atm nchi za watu. Kimsingi hakuna problem yeyote. Jipangeni tu

Aisifuye mvua imemnyea, paypal is not panacea. Sio kila site huwa na option ya kulipa kwa paypal. Sijui kama utanunua apps kwenye App Store kwa PayPal, kwa uliyejipanga unaweza kunisaidia.

Hata mie ninatoa hela nchi za nje na sijaongelea hilo kwani kutoa na kununua online ni vitu viwili tofauti. Kwa mtu aliyeishi hizo unazoita "nchi za watu" (sijui zingine ni za manyani) anajua kuwa bank zetu ndo kwanza zinaanza kutambaa; kwa mantiki hiyo zenyewe ndo zinatakiwa kujipanga.

Nijuacho mie ni kuwa kuwapo kwa tatizo si ishara ya kwamba kila mtu analipata. Na ni kweli pia kwamba kama wewe hupati tatizo si kweli kwamba hakuna anyepata tatizo!
 
Mimi Asilimia 90 ya Apps zangu ni Pro na Sina Paypal wala nini na kila latest version inayotoka huwa naUpdate kama kawa!!
 
Hahaha hata android hizo zote ni bute ni meokoa zaid ya 90$ kwa kutumia blackmart na www.appdroid.ws
😀😀😛

Sent from my GT-I9100 using Tapatalk 2
 
All my android apps ni pro na daily naupdate i love swiftykey..... Hahah

Sent from my GT-I9100 using Tapatalk 2
 
Aisifuye mvua imemnyea, paypal is not panacea. Sio kila site huwa na option ya kulipa kwa paypal. Sijui kama utanunua apps kwenye App Store kwa PayPal, kwa uliyejipanga unaweza kunisaidia.

Hata mie ninatoa hela nchi za nje na sijaongelea hilo kwani kutoa na kununua online ni vitu viwili tofauti. Kwa mtu aliyeishi hizo unazoita "nchi za watu" (sijui zingine ni za manyani) anajua kuwa bank zetu ndo kwanza zinaanza kutambaa; kwa mantiki hiyo zenyewe ndo zinatakiwa kujipanga.

Nijuacho mie ni kuwa kuwapo kwa tatizo si ishara ya kwamba kila mtu analipata. Na ni kweli pia kwamba kama wewe hupati tatizo si kweli kwamba hakuna anyepata tatizo!

Nakubaliana nawe.
 
Habari zenu wadau.

Napenda kuwafahamisha wale ambao wanatumia iOS kuwa kuna application inaitwa: "App of the Day" uki - install huwa inakupa taarifa za paid apps ambazo ni free kwa siku hiyo. Kila siku Kunakuwa na paid app ya bure mfano leo Runtastic pro (kwa wale wanaopenda mazoezi mbalimbali) iko free kwa saa 24. Mimi nishaokoa zaidi ya $50 kwa kutumia app hii.

Samahani kama nimerudia information ambayo tayari inafahamika, nimeona itakuwa vizuri kushare na wale ambao hawajui.

Thnx mkuu
 
Habari zenu wadau.

Napenda kuwafahamisha wale ambao wanatumia iOS kuwa kuna application inaitwa: "App of the Day" uki - install huwa inakupa taarifa za paid apps ambazo ni free kwa siku hiyo. Kila siku Kunakuwa na paid app ya bure mfano leo Runtastic pro (kwa wale wanaopenda mazoezi mbalimbali) iko free kwa saa 24. Mimi nishaokoa zaidi ya $50 kwa kutumia app hii.

Samahani kama nimerudia information ambayo tayari inafahamika, nimeona itakuwa vizuri kushare na wale ambao hawajui.

Here is a better one. appgratis.com Inapatikana kwenye ANDROID, IPAD and IPHONE. Kwa android, "blackmart" is a killer one, also filechoco.com. Also u can install paid apps in IOS without jailbreaking. I have dowloaded like 20 gb paid apps till now. This one needs ample time to clarify.
 
Here is a better one. appgratis.com Inapatikana kwenye ANDROID, IPAD and IPHONE. Kwa android, "blackmart" is a killer one, also filechoco.com. Also u can install paid apps in IOS without jailbreaking. I have dowloaded like 20 gb paid apps till now. This one needs ample time to clarify.

na kwenye blackberry.?
 
Back
Top Bottom