Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,884
Hakika kuna Kundi kubwa limeibuka Kuikejeli CCM chini ya Mwenyekiti Samia na Kudai Wao ni CCM iliyoongozwa na Hayati Magufuli na Kwamba MAGUFULI yupo MIOYONI mwao.
Kundi hili ndio hilo hilo limetangaza Kumchangia SABAYA Mtuhumiwa aliyeshtakiwa na SERIKALI ya CCM.
Kundi hili ndio linalokejeli Juhudi za Mwenyekiti wa CCM
Kundi hili bado halijakubali Kuwa MAGUFULI Amekufa na Hata rudi kamwe.
Kundi hili ndio hilo linalokejeli MARIDHIANO ya VYAMA
USHAURI kwa KUNDI HILI
WAANZISHE CCM YAO watuache na CCM MPYA Chini ya Mwenyekiti SAMIA.
Kundi hili ndio hilo hilo limetangaza Kumchangia SABAYA Mtuhumiwa aliyeshtakiwa na SERIKALI ya CCM.
Kundi hili ndio linalokejeli Juhudi za Mwenyekiti wa CCM
Kundi hili bado halijakubali Kuwa MAGUFULI Amekufa na Hata rudi kamwe.
Kundi hili ndio hilo linalokejeli MARIDHIANO ya VYAMA
USHAURI kwa KUNDI HILI
WAANZISHE CCM YAO watuache na CCM MPYA Chini ya Mwenyekiti SAMIA.