Chisamba
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 1,517
- 777
mtoto mkali sana yule tusiende mbali wala karibu yuko vizuri sana aiseeYah! Ni kweli kabisa unachosema ni msanii mkali! Sema me sio shabiki wa mziki wake na kwa kusema hivi sio kwamba hajui nop! Ila moja ya vitu vingine tofauti alichonacho me napenda mwonekano wake tu...