Mnaokimbilia kuoa na kuolewa

Mnaokimbilia kuoa na kuolewa

Ni wazi kwamba vijana na mabinti wengi wanatamani kuoa na kuolewa mtawalia. Ni jambo jema lakini fahamuni kuwa unapoteza uhuru wako ukiwemo wa kujamba kwa raha zako.
Hapana mkuu me bby wangu anajamba tena shuzi lefu mbele yangu hana hata habari.....sasa unaona aibu kujamba ukipata maradhi ya kujisaidia kwenye nguo utamuonea aibu nani...mkeo au mmeo ndo mtu wako wa karibu kuliko kitu chochote
 
Back
Top Bottom