Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,826
Tutest kwanza mitambo then tutapata majibu.usije his mm ni unfit kumbe ww ndo unfit![]()
Tutest kwanza mitambo then tutapata majibu.usije his mm ni unfit kumbe ww ndo unfit![]()
hahaha ...lioneTutest kwanza mitambo then tutapata majibu.
Hapana mkuu me bby wangu anajamba tena shuzi lefu mbele yangu hana hata habari.....Ni wazi kwamba vijana na mabinti wengi wanatamani kuoa na kuolewa mtawalia. Ni jambo jema lakini fahamuni kuwa unapoteza uhuru wako ukiwemo wa kujamba kwa raha zako.




sasa unaona aibu kujamba ukipata maradhi ya kujisaidia kwenye nguo utamuonea aibu nani...mkeo au mmeo ndo mtu wako wa karibu kuliko kitu chochoteKosaaa!! linaamshwa dudeMimi sipend kwakwl...khaa.....ndp maana tunajikuta waongo waongo...yaan usionekane mgongo tu
![]()