Ahahhahahhaa.Ni wazi kwamba vijana na mabinti wengi wanatamani kuoa na kuolewa mtawalia. Ni jambo jema lakini fahamuni kuwa unapoteza uhuru wako ukiwemo wa kujamba kwa raha zako.
Da mkuu, kuchambana kabisa? Hii inawezekanaje iwapo tu hata kama watu ni wapenzi kwa kiasi chochote kile hawasindikizani chooni.Ahahhahahhaa.
Mkuu ukioa utaacha utoto huo.miezi ya mwanzo utajizuia.lakini mkizowea hadi kuchamba mtachambana mbonaa



haya mambo madogo madogo binafsi ndo yanadumisha ndoa..

huo ni mfano tuuuuuuu.Da mkuu, kuchambana kabisa? Hii inawezekanaje iwapo tu hata kama watu ni wapenzi kwa kiasi chochote kile hawasindikizani chooni.
Siku hizi thread za mistari miwili zipo nyingi sana. Vijana wa facebook washavamia.Mada ishakamilika tayari?
Vipi ile michirizi ya weupe inayotokana na kuvaa bra,ulipata tiba yakeKinachoboa kwenye ndoa ni kutokuwa na ratiba za kusex ....yaan argh....!usipokuwa makini kila siku utauchezea...
jambo jingine zuri ni kufungwa zile pins za bra...
Gumu na baya zaidi huwez kujiachia...kila kitu kinaenda kwa protocol..kuna siku una stimu za kufurahi na mates..lakini unawaza unaombaje ruhusa..na HUPEWI NG'O


Vipi ile michirizi ya weupe inayotokana na kuvaa bra,ulipata tiba yake![]()
Unataka sex iwe na ratiba... sio mtu anapojisikia 😳Kinachoboa kwenye ndoa ni kutokuwa na ratiba za kusex ....yaan argh....!usipokuwa makini kila siku utauchezea😭😭😭...
jambo jingine zuri ni kufungwa zile pins za bra😊😊...
Gumu na baya zaidi huwez kujiachia...kila kitu kinaenda kwa protocol😩😩😩..kuna siku una stimu za kufurahi na mates..lakini unawaza unaombaje ruhusa..na HUPEWI NG'O
Unataka sex iwe na ratiba... sio mtu anapojisikia 😳
Hahaha! usikute hapa naongea na watu wazima kabisa wenye uzoefu wao.Ndoa tamu sana kijana, mnajambiana mnacheka na utani mwingi sana. Oa uone utamu wake iwapo wewe ni mwanamme ila kama akili ya mvulana imekutawala bado bora ubaki hivyo hivyo.
Sasa kama mashine zinasimama na lishe bora ipo, kuna shida gani?sio sasa kila siku na nyie khaa
Kweli wanawake wametofautiana. Kuna ambao wanataka kila siku had mara mbili kwa siku. Kama una mwili nyolonyolo hutoboisio sasa kila siku na nyie khaa
Mkuu kwani unaweza kuta mimi ni rika ya baba yako. Kuna watu wazima sana hapa jukwaaniHahaha! usikute hapa naongea na watu wazima kabisa wenye uzoefu wao.
Sasa kama mashine zinasimama na lishe bora ipo, kuna shida gani?
enh mnatofautiana basi... mbona wengine ndo wanalilia kila sikusio sasa kila siku na nyie khaa