kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,126
- 24,421
Jitu linatetea utawala huu haramu at the same linawasha vpn ili liingie jf na X
Si serikali yenu ni nzur na haina makandokando na anaupiga mwingi?sasa kwanini mnatumia vpn kuja jf kuweka mapambio ya kumsifu Samia?
Kitu ambacho misukule ya Kizimkazi haifahamu ni kuwa tunachokipambania ni kwa faida yao wao na kizazi chao,kwa mfano sahv hao hao machawa inawabidi wawashe vpn ili waaacess jf na X
Si serikali yenu ni nzur na haina makandokando na anaupiga mwingi?sasa kwanini mnatumia vpn kuja jf kuweka mapambio ya kumsifu Samia?
Kitu ambacho misukule ya Kizimkazi haifahamu ni kuwa tunachokipambania ni kwa faida yao wao na kizazi chao,kwa mfano sahv hao hao machawa inawabidi wawashe vpn ili waaacess jf na X
