Mnamkumbuka Shaba Ranks?


Shukran kwa picha mkuu
 


Tafuta hizo habari utazikuta ,binafsi niliona program ilikuwa inongelea wanamuziki waliotoweka na sababu kubwa za kutoweka kwao hapa naongelea program za first world,
 
Tafuta hizo habari utazikuta ,binafsi niliona program ilikuwa inongelea wanamuziki waliotoweka na sababu kubwa za kutoweka kwao hapa naongelea program za first world,

duh! Nani wa kumwamini sasa. Ila huoni kuna link kati ya kuwaponda mashost na kuporomoka?
 
Kitaa kwetu Shaba Ranks ni yule mchezaji wa Brighton aliekuwaga Arsenal wakuitwa Danny Welbeck.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…