Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 6,364
- 15,148
Mzazi anakopa kwenye vikoba au taasisi ndogo bila kuwashirikisha watoto wake, na anaposhindwa kulipa, mzigo wote wa deni unahamishiwa kwa watoto.
Hili kwangu mimi ni kutojitambua na kutojitambua kwa mzazi.
Hili kwangu mimi ni kutojitambua na kutojitambua kwa mzazi.