Mnaionaje biashara ya partnership kwenye hili?

Mnaionaje biashara ya partnership kwenye hili?

Chibike

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
4,909
Reaction score
7,561
Wakuu mnaonaje biashara ya namna hii, kua Mimi Nina kiwanja sehem potential ila sababu ya kukosa fedha za kujenga, je ukiingia partnership na mtu ambaye ana fedha ambaye ataweza kujenga kitu kama lodge ama Air bnb...sana sana Air bnb, halafu kwenye mapato mkagawana asilimia, labda 50% kwa 50%

Je hio business Iko njema?
 
Be care mkuu, wenzako walibadilikiwa kuwa waliuziana kuwa makin sana ardhi sio kitu Cha kuleta mzaha unge kuwa na taasisi au kampuni sawa ila we TU personally be care, hata kuuliwa kabisa
 
Be care mkuu, wenzako walibadilikiwa kuwa waliuziana kuwa makin sana ardhi sio kitu Cha kuleta mzaha unge kuwa na taasisi au kampuni sawa ila we TU personally be care, hata kuuliwa kabisa
Anabadilika na mmesainishana mkataba wa namna ya ku run hio business na makubaliano?
Ila naamin only this happens in Tanzania
 
Kibongo bongo jau sana, unaweza shangaa mtu anaiubadilikia mbele ta safari. Ubakuta sahihi zile zile za makubaliano anabadili kuwa ulimuzia hivyo kuwa makini sana, au labda kama una Kampuni na Nyaraka zimesajiliwa kwa jina hilo.

Sio kwamba haiwezekani, inawezekana sana ila tatizo Bongo Nyoso sana wa kumuamini ndio kipengele
 
Kibongo bongo jau sana, unaweza shangaa mtu anaiubadilikia mbele ta safari. Ubakuta sahihi zile zile za makubaliano anabadili kuwa ulimuzia hivyo kuwa makini sana, au labda kama una Kampuni na Nyaraka zimesajiliwa kwa jina hilo.

Sio kwamba haiwezekani, inawezekana sana ila tatizo Bongo Nyoso sana wa kumuamini ndio kipengele
Asantemkuu..naona bongo kufanya business Yan sjuii uwe mafia unafanya Dili na mtu ila una HOFU unaweza akakujeuka..ndio mana Tanzania tabaka la maskin na matajiri halitoisha
 
Wakuu mnaonaje biashara ya namna hii, kua Mimi Nina kiwanja sehem potential ila sababu ya kukosa fedha za kujenga, je ukiingia partnership na mtu ambaye ana fedha ambaye ataweza kujenga kitu kama lodge ama Air bnb...sana sana Air bnb, halafu kwenye mapato mkagawana asilimia, labda 50% kwa 50%

Je hio business Iko njema?
Kuwa makini, kama gharama ya kiwanja na ya ujenzi viko sawa, huenda ikawa deal zuri ila mara nyingi ujenzi unakuwa na gharama kubwa sana hata mara 15 hadi 20 ya gharama ya kiwanja. Bado kuna gharama za utendaji kabla biashara kuchangamka.

Hapo panahitaji uchanganuzi wa kifedha na jitahidi kuhusisha wanasheria kutoka pande mbili ili msizungukane
 
Kuwa makini, kama gharama ya kiwanja na ya ujenzi viko sawa, huenda ikawa deal zuri ila mara nyingi ujenzi unakuwa na gharama kubwa sana hata mara 15 hadi 20 ya gharama ya kiwanja. Bado kuna gharama za utendaji kabla biashara kuchangamka.

Hapo panahitaji uchanganuzi wa kifedha na jitahidi kuhusisha wanasheria kutoka pande mbili ili msizungukane
Sawa sawa shukran kwa Hilo mkuu
 
Mswahili ni ngumu kuingia nae biashara.
Tamaa na mambo ya familia huwa yanahusika sana.
Hata muingie mikataba ya aina gani

Pambana mwenyewe ujenge hata apartment moja kwanza
 
Wakuu mnaonaje biashara ya namna hii, kua Mimi Nina kiwanja sehem potential ila sababu ya kukosa fedha za kujenga, je ukiingia partnership na mtu ambaye ana fedha ambaye ataweza kujenga kitu kama lodge ama Air bnb...sana sana Air bnb, halafu kwenye mapato mkagawana asilimia, labda 50% kwa 50%

Je hio business Iko njema?
Ni wazo zuri ila.

Usitafute mtu, tafuta Kampuni ambazo zinafanya mahesabu kihasibu, faida na hasara zinajukikana mwisho wa mwaka na kila mtu anajua mgawo wake.

Pia, kama eneo lako ni kibwa, kuna option ya kupata ramani nzuri then ikajemhwa mkagawana vyumba, nyumba au floor kulingana na mlivyojenga
 
Back
Top Bottom