Mnaikumbuka SHIHATA? - It could have been useful in National Building

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,363
39,100
Ningekuwa na uwezo fulani hivi ningerudisha chombo hiki kwa namna fulani hata ikibidi kama semi-government entity.. Sijui kwanini tuliliua? Ni kana kwamba tulifika mahali chochote cha kwetu tulikiona kibaya na tukashindwa kukilinda na tukakubali kukiua huku tukisubiri "cha kwao" kije.. what is wrong with us? Kama kuirudisha tuirudishe vipi na ikiwa na mandate gani?

"Mimi ni ... wa SHIHATA... "..!!

Halafu tulikuwa na watu tunawaita "Shihata"...!!LOL
 

Tango73

JF-Expert Member
Dec 14, 2008
2,011
1,057
Ningekuwa na uwezo fulani hivi ningerudisha chombo hiki kwa namna fulani hata ikibidi kama semi-government entity.. Sijui kwanini tuliliua? Ni kana kwamba tulifika mahali chochote cha kwetu tulikiona kibaya na tukashindwa kukilinda na tukakubali kukiua huku tukisubiri "cha kwao" kije.. what is wrong with us? Kama kuirudisha tuirudishe vipi na ikiwa na mandate gani?

"Mimi ni ... wa SHIHATA... "..!!

Halafu tulikuwa na watu tunawaita "Shihata"...!!LOL
Shihata kilikuwa kituo cha habari cha propaganda tuu. kukusanya habari za kuichukia marekani na israel na kuipamba Urussi na china. Angola nao walikuwa nayo ilikuwa inaitwa Angop, Msumbiji walikuwa na AIM. ni manchi makomunisti tuu yaliyokuwaga na mashilika ya habari kama hayo ili kupotosha ukweli wa mambo.

Chombo hicho hakiwezi kurudi hata siku moja, kwa maana kilikuwa kinakula pesa za dezo za serikali.
 

ndewelo

JF-Expert Member
Jan 21, 2014
331
199
Shihata kilikuwa kituo cha habari cha propaganda tuu. kukusanya habari za kuichukia marekani na israel na kuipamba Urussi na china. Angola nao walikuwa nayo ilikuwa inaitwa Angop, Msumbiji walikuwa na AIM. ni manchi makomunisti tuu yaliyokuwaga na mashilika ya habari kama hayo ili kupotosha ukweli wa mambo.

Chombo hicho hakiwezi kurudi hata siku moja, kwa maana kilikuwa kinakula pesa za dezo za serikali.

Unaposema chombo cha kueneza propoganda za kikomunisit vipi unasema nini kuhusu Reuters
 

Kinoamiguu

JF-Expert Member
Nov 29, 2018
7,770
8,821
Ningekuwa na uwezo fulani hivi ningerudisha chombo hiki kwa namna fulani hata ikibidi kama semi-government entity.. Sijui kwanini tuliliua? Ni kana kwamba tulifika mahali chochote cha kwetu tulikiona kibaya na tukashindwa kukilinda na tukakubali kukiua huku tukisubiri "cha kwao" kije.. what is wrong with us? Kama kuirudisha tuirudishe vipi na ikiwa na mandate gani?

"Mimi ni ... wa SHIHATA... "..!!

Halafu tulikuwa na watu tunawaita "Shihata"...!!LOL
mshauri malaika arudishe ... mana ameweza kutuondolea hata taarifa za habari kwenye ving'amuzi sasa tunaimbishwa TBC Tuu
Hapa kazi tu...
 

elvischirwa

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
14,501
16,014
Ningekuwa na uwezo fulani hivi ningerudisha chombo hiki kwa namna fulani hata ikibidi kama semi-government entity.. Sijui kwanini tuliliua? Ni kana kwamba tulifika mahali chochote cha kwetu tulikiona kibaya na tukashindwa kukilinda na tukakubali kukiua huku tukisubiri "cha kwao" kije.. what is wrong with us? Kama kuirudisha tuirudishe vipi na ikiwa na mandate gani?

"Mimi ni ... wa SHIHATA... "..!!

Halafu tulikuwa na watu tunawaita "Shihata"...!!LOL
Mwenendo wa SHIHATA ni sawa na kiTBC zote under HIS MASTER'S VOICE. nani anataka dunia ya leo.
 

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
34,844
27,933
Shihata kilikuwa kituo cha habari cha propaganda tuu. kukusanya habari za kuichukia marekani na israel na kuipamba Urussi na china. Angola nao walikuwa nayo ilikuwa inaitwa Angop, Msumbiji walikuwa na AIM. ni manchi makomunisti tuu yaliyokuwaga na mashilika ya habari kama hayo ili kupotosha ukweli wa mambo.

Chombo hicho hakiwezi kurudi hata siku moja, kwa maana kilikuwa kinakula pesa za dezo za serikali.
Ni kama vile BBC inavyotumika
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom