Mnaikumbuka SHIHATA? - It could have been useful in National Building

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,460
39,928
Ningekuwa na uwezo fulani hivi ningerudisha chombo hiki kwa namna fulani hata ikibidi kama semi-government entity.. Sijui kwanini tuliliua? Ni kana kwamba tulifika mahali chochote cha kwetu tulikiona kibaya na tukashindwa kukilinda na tukakubali kukiua huku tukisubiri "cha kwao" kije.. what is wrong with us? Kama kuirudisha tuirudishe vipi na ikiwa na mandate gani?

"Mimi ni ... wa SHIHATA... "..!!

Halafu tulikuwa na watu tunawaita "Shihata"...!!LOL
 
Ningekuwa na uwezo fulani hivi ningerudisha chombo hiki kwa namna fulani hata ikibidi kama semi-government entity.. Sijui kwanini tuliliua? Ni kana kwamba tulifika mahali chochote cha kwetu tulikiona kibaya na tukashindwa kukilinda na tukakubali kukiua huku tukisubiri "cha kwao" kije.. what is wrong with us? Kama kuirudisha tuirudishe vipi na ikiwa na mandate gani?

"Mimi ni ... wa SHIHATA... "..!!

Halafu tulikuwa na watu tunawaita "Shihata"...!!LOL
Shihata kilikuwa kituo cha habari cha propaganda tuu. kukusanya habari za kuichukia marekani na israel na kuipamba Urussi na china. Angola nao walikuwa nayo ilikuwa inaitwa Angop, Msumbiji walikuwa na AIM. ni manchi makomunisti tuu yaliyokuwaga na mashilika ya habari kama hayo ili kupotosha ukweli wa mambo.

Chombo hicho hakiwezi kurudi hata siku moja, kwa maana kilikuwa kinakula pesa za dezo za serikali.
 
Shihata kilikuwa kituo cha habari cha propaganda tuu. kukusanya habari za kuichukia marekani na israel na kuipamba Urussi na china. Angola nao walikuwa nayo ilikuwa inaitwa Angop, Msumbiji walikuwa na AIM. ni manchi makomunisti tuu yaliyokuwaga na mashilika ya habari kama hayo ili kupotosha ukweli wa mambo.

Chombo hicho hakiwezi kurudi hata siku moja, kwa maana kilikuwa kinakula pesa za dezo za serikali.

Unaposema chombo cha kueneza propoganda za kikomunisit vipi unasema nini kuhusu Reuters
 
Ningekuwa na uwezo fulani hivi ningerudisha chombo hiki kwa namna fulani hata ikibidi kama semi-government entity.. Sijui kwanini tuliliua? Ni kana kwamba tulifika mahali chochote cha kwetu tulikiona kibaya na tukashindwa kukilinda na tukakubali kukiua huku tukisubiri "cha kwao" kije.. what is wrong with us? Kama kuirudisha tuirudishe vipi na ikiwa na mandate gani?

"Mimi ni ... wa SHIHATA... "..!!

Halafu tulikuwa na watu tunawaita "Shihata"...!!LOL
mshauri malaika arudishe ... mana ameweza kutuondolea hata taarifa za habari kwenye ving'amuzi sasa tunaimbishwa TBC Tuu
Hapa kazi tu...
 
Ningekuwa na uwezo fulani hivi ningerudisha chombo hiki kwa namna fulani hata ikibidi kama semi-government entity.. Sijui kwanini tuliliua? Ni kana kwamba tulifika mahali chochote cha kwetu tulikiona kibaya na tukashindwa kukilinda na tukakubali kukiua huku tukisubiri "cha kwao" kije.. what is wrong with us? Kama kuirudisha tuirudishe vipi na ikiwa na mandate gani?

"Mimi ni ... wa SHIHATA... "..!!

Halafu tulikuwa na watu tunawaita "Shihata"...!!LOL
Mwenendo wa SHIHATA ni sawa na kiTBC zote under HIS MASTER'S VOICE. nani anataka dunia ya leo.
 
Shihata kilikuwa kituo cha habari cha propaganda tuu. kukusanya habari za kuichukia marekani na israel na kuipamba Urussi na china. Angola nao walikuwa nayo ilikuwa inaitwa Angop, Msumbiji walikuwa na AIM. ni manchi makomunisti tuu yaliyokuwaga na mashilika ya habari kama hayo ili kupotosha ukweli wa mambo.

Chombo hicho hakiwezi kurudi hata siku moja, kwa maana kilikuwa kinakula pesa za dezo za serikali.
Ni kama vile BBC inavyotumika
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom