Mnafanyaje hadi mnapendwa?

Mnafanyaje hadi mnapendwa?

Raia mpya

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2022
Posts
906
Reaction score
2,488
Wanangu tupeane code kidogo hivi nyie mnafanyaje fanyaje mpka mwanamke anakupenda kabisa, kuda dada kila siku lazima ampost mwana ake yaani deile ,kuna ile wegine wanawake mpka wanawagombania hivi nyie mnafanyaga nini mpka inakuwa hivyo?
Au ndio hela?
 
Wanangu tupeane code kidogo hivi nyie mnafanyaje fanyaje mpka mwanamke anakupenda kabisa, kuda dada kila siku lazima ampost mwana ake yaani deile ,kuna ile wegine wanawake mpka wanawagombania hivi nyie mnafanyaga nini mpka inakuwa hivyo?
Au ndio hela?
Mkuu pesa ulishapata tayari?

Kama bado endelea kukomaa, malezi yanahitaji pesa
 
Wanangu tupeane code kidogo hivi nyie mnafanyaje fanyaje mpka mwanamke anakupenda kabisa, kuda dada kila siku lazima ampost mwana ake yaani deile ,kuna ile wegine wanawake mpka wanawagombania hivi nyie mnafanyaga nini mpka inakuwa hivyo?
Au ndio hela?
Labda hii itakusaidia. Wanawake hawapost wale wanaowapenda na akimposti lazima amfiche sura, maana anaogopa "kuibiwa". Ukiona mwana anapostiwa kila siku ujue huyo hata akiibiwa haitamsumbua huyo mwanamke, maana ampendaye amemficha....akili, mwana, akili.
 
Labda hii itakusaidia. Wanawake hawapost wale wanaowapenda na akimposti lazima amfiche sura, maana anaogopa "kuibiwa". Ukiona mwana anapostiwa kila siku ujue huyo hata akiibiwa haitamsumbua huyo mwanamke, maana ampendaye amemficha....akili, mwana, akili.
Hii ya kuspotiana mara nyingi huwa ni unafki na janjajanja ya kitoto sana na huwadaka mabwegenazi.

Siku hizi wajanja wengi wamejua hizo janjajanja.
 
Tafuta mtaalam
FB_IMG_17572550671039246.jpg
 
Wanangu tupeane code kidogo hivi nyie mnafanyaje fanyaje mpka mwanamke anakupenda kabisa, kuda dada kila siku lazima ampost mwana ake yaani deile ,kuna ile wegine wanawake mpka wanawagombania hivi nyie mnafanyaga nini mpka inakuwa hivyo?
Au ndio hela?
katafute hela alaf rudi nikupe code
 
Wanangu tupeane code kidogo hivi nyie mnafanyaje fanyaje mpka mwanamke anakupenda kabisa, kuda dada kila siku lazima ampost mwana ake yaani deile ,kuna ile wegine wanawake mpka wanawagombania hivi nyie mnafanyaga nini mpka inakuwa hivyo?
Au ndio hela?
  1. Mkojoze vizuri, siyo dakika 3 wazungu hao.
  2. Usiwe na shida ndogo ndogo :GetMoney:
 
Back
Top Bottom