Mnaenda katika "nyumba za ibada" zisizo na Ukweli

Mnaenda katika "nyumba za ibada" zisizo na Ukweli

Ujinga wenu nanyi ni mmoja yani huwa mnazichambua imani za hizi dini mnazoita za kuletewa ila linapokuja kwenye hizo imani mnazoita za asili yetu huwa mnataka tuzikubali tu kisa ni za mababu zetu hivyo ni asili yetu, mkishafika hapo tu huwa naona ni walewale tu wawamba ngoma mnavutia upande upande wenu ila hakuna jipya.
 
MKUU KWA HIYO TUENDELEE NA MIZIMU YETU
Naunga hoja mkuu.

Hawa kina St. Andrews, St. Michael, St. Valentine etc na wenyewe ni mizimu ya wazungu.

Kwanini tusiombe kwa mizimu yetu wenyewe tunang'ang'ania Mtakatifu Rita uniombee sijui mtakatifu nani huko.

Yaani unamuomba mtu ambaye hata hakujui na wala sio wa asili yako akuombeee, huo ni uduwanzi wa hali ya juu sana.
 
Afrika kwa ujumla tuna changamoto sana, haswa hili swala la dini na imani hizi tulizo nazo.

Nafsi ni kama zinatusuta hivi na kila upande kuendelea kuamini au kuendelea kutokuamini.
 
Sijaona ulichoandika!!
Ila nitakuuliza swali moja tu...
Je Unaamini kuwa Mungu Yupo?
Nijibu hilo
 
Naunga hoja mkuu.
Hawa kina St.Andrews, St. Michael, St. Valentine etc na wenyewe ni mizimu ya wazungu.
Kwanini tusiombe kwa mizimu yetu wenyewe tunang'ang'ania Mtakatifu Rita uniombee sijui mtakatifu nani huko.

Yaani unamuomba mtu ambaye hata hakujui na wala sio wa asili yako akuombeee, huo ni uduwanzi wa hali ya juu sana.
kweli kiongozi aisee
 
Kwamba kila jamii au bara ina mizimu yake kwamba waafrika tuna mizimu yetu, wazungu wana mizimu yao, wahindi yao,waarabu yao,wachina yao n.k Sasa ikiwa mtoto amezaliwa na wazazi wa jamii mbili tofauti hapo inakuaje au ndiyo anaweza kutumia mizimu yote?
 
Uliahirisha kukata tamaa mkuu ukaamua uanze kukosoa jamii na imani zao kisa mapesa yamekukataa.


Unahitaji akili ya ziada ili kuielewa jamii kwa nini iko kama ilivyo.
 
MKUU KWA HIYO TUENDELEE NA MIZIMU YETU
Kwani Huko Hakuna Mizimu mkuu. Si mnaiita Watakatifu. Mtu akifa Na Wewe ukawa bado unamtaja Taja Jua Unaiita hiyo Mizimu ije ikusikilize

Si kila Mzimu ni Mwema mpka Ujue Unachofanya
 
Back
Top Bottom