Mnada wa NOKIA 2

Mnada wa NOKIA 2

Airmanula

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
3,524
Reaction score
5,782
Habari ..kama kichwa cha habari kinavyojieleza

Sitaji bei ila mwenye bei itakayomzidi mwingine ndo ataichukua simu...iko katika hali nzuri.

Specs

Processor 1.3Ghz

RAM 1GB

Internal Storage 8GB

Camera 8mp x 5 mp

Android 7.1.1

Battery 4100 mAh

Inatumia laini 2

Inasupport 4G

Resolution 720 x 1280





Karibuni na mnada uanze !!!


images(2)_1_1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom