MNADA Saturday 29th August 2009 at UNICEF

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
734
Kutakuwa na mnada pale UNICEF vitu mbalimbali kama magari,vifaa vya computers na vya maofisini.

List of vitu imeambatanishwa.
 

Attachments

  • List2.doc
    79 KB · Views: 109
  • List1.doc
    357 KB · Views: 108
  • Vehicles and Spareparts Decision .doc
    103 KB · Views: 148
  • DisposableAugust 2009.xls
    81.5 KB · Views: 87
everything is broken,but hii minada bora wagawe kwa wanaohitaji wapeleke kwa watoto yatima,kwanini nasema hivi?Minada hii wanakuja matajiri wafanyabiashara wenye hela zao wanabuy at very high price kwa vitu used tena broken,yani mitanzania ni mipumbavu sana.huwa sihudhuriagi tena minada ya watu wa nje9balozini,UN's etc).watoe charity as they are not profit making organisations,full stop
 
everything is broken,but hii minada bora wagawe kwa wanaohitaji wapeleke kwa watoto yatima,kwanini nasema hivi?Minada hii wanakuja matajiri wafanyabiashara wenye hela zao wanabuy at very high price kwa vitu used tena broken,yani mitanzania ni mipumbavu sana.huwa sihudhuriagi tena minada ya watu wa nje9balozini,UN's etc).watoe charity as they are not profit making organisations,full stop

Ni kweli kabisaa! Hii inatokana na serikali yetu kujaa mafisadi, hivi ni vitu ambavyo wanatakiwa ku-donate kwa serikali na kwenye idara zenye shughuli zinazoendana na Shirika lenyewe. Nchi nyingine huwa zinahakikisha wanafanya hivyo. Ila hapo kwetu ofisa wa seriakali atafanya mbinu ya kujinyakulia lake ampelekee mkewe, tena mara nyingi nyumba ndogo-kimada. Kwahiyo hawa jamaa wanajifanyia mambo wanavyotaka na wafanya biashara na mara nyingi huwa ni ponjoro wanavichukua jumla. Ukiona hivyo kuna kitu kimefunikwa hapo siyo hivi hivi. Huenda vipo ninavyoongezwa baada ya mnunuzi kulipia.
 
RealTz77
everything is broken,

Enhee, sawa wanauza vitu vibovu, tuko pamoja!

RealTz77
but hii minada bora wagawe kwa wanaohitaji wapeleke kwa watoto yatima,kwanini nasema hivi?Minada hii wanakuja matajiri wafanyabiashara wenye hela zao wanabuy at very high price kwa vitu used tena broken,yani mitanzania ni mipumbavu sana.​



Eh, ulianza vizuri kwamba hivyo vitu ni mizoga, kulikoni unataka huo mzigo wa vitu vibovu utwushwe kwa watu wasio na uwezo yaani yatima? au ndiyo kusema kila kilichochoka basi watupiwe yatima, yatima hawastahili vitu vizuri?



RealTz77
huwa sihudhuriagi tena minada ya watu wa nje9balozini,UN's etc).


Mh, isijekuwa ni sizitaki mbichi hizi?
RealTz77
watoe charity as they are not profit making organisations,full stop​

Sasa tunataka kuingilia kazi ambayo hatuiwezi kuifanya
 
Asante kwa taarifa! Je unafanyika wapi ?
UNICEF Makao makuu au ofisi zao zipo sehemu gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom