Mnachotufanyia mawakala ni dhambi

Mnachotufanyia mawakala ni dhambi

pagalwema

Senior Member
Joined
Sep 17, 2018
Posts
102
Reaction score
138
Lengo la TCRA (Mamlaka ya Mawasiliano) kusajili laini kwa alama za vidole kuwatambua wamiliki halali wa laini husika. Lakini wanachokifanya baadhi ya mawakala wa mitandao ya simu si halali

Wewe mwenye kitambulisho cha NIDA unapoenda kusajili laini ukiambiwa rudia imekataa au haijakamilika jua una sajili line nyingine.

Ambazo baadhi ya mawakala huziuza laini hizo kwa wengine wasio na vitambulisho vya NIDA. Kwa kutokuelewa sisi tunaoenda kusajili tukiambiwa tumekosea tuna rudia zaidi ya mara 3 jua hapo umesajili laini zaidi ya moja.

Ushauri:
TCRA wangeamua Kila kitambulisho kingesajili line moja tu kila mtandao
Lakini kwa kuamua kuruhusu line zaidi ya moja

Ni majanga yapo pale pale lain kibao zipo mtaani zinauzwa zilizosajiliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahah jamani hivi ni kweli unaandika hivi au unajifanyisha?
 
Hahahahah jamani hivi ni kweli unaandika hivi au unajifanyisha?
Hujamuelewa? Anasema kuwa zipo line za simu zilizosajiliwa kwa alama za vidole zinauzwa huko mitaani
 
Sorry wanachokifanya baadhi ya mawakala wa mitandao ya cm si kizuli wanauza line zilizosajiliwa
Vyanzo vya lain hizo sihalali
Ludia imekataa,imekataa imegoma ikitokea hali hiyo kataa kuludia ukiludia umesajili line ingine ahsat

Sent using Jamii Forums mobile app
 
arch88 hahahaha nasikia voda ukiwa na deni wanakomaa kusajili mpaka ulipe deni lao ni kweli? Vipi tigo nako kwa mzigo uo wamekubali?
 
Acha ujinga Mimi ninataka laini yangu, ya Nyumbani, ya dukani ya mfanyakazi kazi itakuwaje.?

Na zote nahitaji mtandao mmoja ili kuokoa matumizi....

Acha kuwaza ki ccm ccm!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom