Mnachotaka hasa nini juu ya taifa letu?

Mnachotaka hasa nini juu ya taifa letu?

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,744
Reaction score
5,769
Kabla ya JPM kuingia madarakani mlikuwa kila siku mnapiga kelele kuwa nchi imeoza, ufisadi umetapakaa kila kona na Ccm inaenda kufa. Ilikuwa kila kikao cha bunge lazima usikie kuna ufisadi wa kuutisha mara Epa ,Escrow n.k.

Rais aliyekuwepo najua kwa asilimia kubwa alikuwa hataki haya mambo ndio maana hata yeye alikuwa anaruhusu bunge liisurubishe serikali yake. Mfano ni kwenye kashifa ya Escrow tuliona namna bunge lilivyoisurubu serikali yake. Mpaka azimio la bunge likaundwa ili waliohusika wachukuliwe hatua.

Kuna jamaa zaidi ya miaka kumi na tano walikuwa wanatuibia rasilimali zetu. Amekuja JPM kasimama kidete ili na sisi tuanze kunufaika na mali ambayo Mungu ametupatia .

Sasa najiuliza je mlitaka watu wachache tu wawe wanajichotea mali za umma kama ilivyokuwa hapo zamani? Maana najua yule mzee wa Msoga upole ulizidi ndio maana watu wakawa wanaiibia nchi wanavyotaka. Kila sekta ilikuwa ni wizi tu. Iwe ni vocha za pembejeo,wafanyakazi hewa n.k

Je nyie Chadema ambao sasa hivi mnaponda JPM mlitaka ufisadi uendelee ili mpate sifa za kisiasa? Mbona mnakuwa wanafiki kama wanawake wa saluni?
 
Screenshot_2020-05-07-15-26-20.png
 
Kabla ya JPM kuingia madarakani mlikuwa kila siku mnapiga kelele kuwa nchi imeoza, ufisadi umetapakaa kila kona na Ccm inaenda kufa. Ilikuwa kila kikao cha bunge lazima usikie kuna ufisadi wa kuutisha mara Epa ,Escrow n.k.

Rais aliyekuwepo najua kwa asilimia kubwa alikuwa hataki haya mambo ndio maana hata yeye alikuwa anaruhusu bunge liisurubishe serikali yake. Mfano ni kwenye kashifa ya Escrow tuliona namna bunge lilivyoisurubu serikali yake. Mpaka azimio la bunge likaundwa ili waliohusika wachukuliwe hatua.

Kuna jamaa zaidi ya miaka kumi na tano walikuwa wanatuibia rasilimali zetu. Amekuja JPM kasimama kidete ili na sisi tuanze kunufaika na mali ambayo Mungu ametupatia .

Sasa najiuliza je mlitaka watu wachache tu wawe wanajichotea mali za umma kama ilivyokuwa hapo zamani? Maana najua yule mzee wa Msoga upole ulizidi ndio maana watu wakawa wanaiibia nchi wanavyotaka. Kila sekta ilikuwa ni wizi tu. Iwe ni vocha za pembejeo,wafanyakazi hewa n.k

Je nyie Chadema ambao sasa hivi mnaponda JPM mlitaka ufisadi uendelee ili mpate sifa za kisiasa? Mbona mnakuwa wanafiki kama wanawake wa saluni?
Naona mzee wako umpendaye siku hizi nyota yake inazidi kwenda chini. Ameleta ukabila, ukanda, uonevu, udikteta, n.k. Soma ripoti za CAG utajua mambo yamekuwa mabaya zaidi kuliko hata siku zilizopita.
 
Kabla ya JPM kuingia madarakani mlikuwa kila siku mnapiga kelele kuwa nchi imeoza, ufisadi umetapakaa kila kona na Ccm inaenda kufa. Ilikuwa kila kikao cha bunge lazima usikie kuna ufisadi wa kuutisha mara Epa ,Escrow n.k.

Rais aliyekuwepo najua kwa asilimia kubwa alikuwa hataki haya mambo ndio maana hata yeye alikuwa anaruhusu bunge liisurubishe serikali yake. Mfano ni kwenye kashifa ya Escrow tuliona namna bunge lilivyoisurubu serikali yake. Mpaka azimio la bunge likaundwa ili waliohusika wachukuliwe hatua.

Kuna jamaa zaidi ya miaka kumi na tano walikuwa wanatuibia rasilimali zetu. Amekuja JPM kasimama kidete ili na sisi tuanze kunufaika na mali ambayo Mungu ametupatia .

Sasa najiuliza je mlitaka watu wachache tu wawe wanajichotea mali za umma kama ilivyokuwa hapo zamani? Maana najua yule mzee wa Msoga upole ulizidi ndio maana watu wakawa wanaiibia nchi wanavyotaka. Kila sekta ilikuwa ni wizi tu. Iwe ni vocha za pembejeo,wafanyakazi hewa n.k

Je nyie Chadema ambao sasa hivi mnaponda JPM mlitaka ufisadi uendelee ili mpate sifa za kisiasa? Mbona mnakuwa wanafiki kama wanawake wa saluni?
.
FB_IMG_15890502447690498.jpg
 
Hivi ile kesi ya kina kangi lugola imeishia wapi, alafu si kesi ya uhujumu uchumi mbona jamaa hawajakamatwa wakati uchunguzi ukiendelea?
 
Kabla ya JPM kuingia madarakani mlikuwa kila siku mnapiga kelele kuwa nchi imeoza, ufisadi umetapakaa kila kona na Ccm inaenda kufa. Ilikuwa kila kikao cha bunge lazima usikie kuna ufisadi wa kuutisha mara Epa ,Escrow n.k.

Rais aliyekuwepo najua kwa asilimia kubwa alikuwa hataki haya mambo ndio maana hata yeye alikuwa anaruhusu bunge liisurubishe serikali yake. Mfano ni kwenye kashifa ya Escrow tuliona namna bunge lilivyoisurubu serikali yake. Mpaka azimio la bunge likaundwa ili waliohusika wachukuliwe hatua.

Kuna jamaa zaidi ya miaka kumi na tano walikuwa wanatuibia rasilimali zetu. Amekuja JPM kasimama kidete ili na sisi tuanze kunufaika na mali ambayo Mungu ametupatia .

Sasa najiuliza je mlitaka watu wachache tu wawe wanajichotea mali za umma kama ilivyokuwa hapo zamani? Maana najua yule mzee wa Msoga upole ulizidi ndio maana watu wakawa wanaiibia nchi wanavyotaka. Kila sekta ilikuwa ni wizi tu. Iwe ni vocha za pembejeo,wafanyakazi hewa n.k

Je nyie Chadema ambao sasa hivi mnaponda JPM mlitaka ufisadi uendelee ili mpate sifa za kisiasa? Mbona mnakuwa wanafiki kama wanawake wa saluni?
Jenga nccr wewe acha kuwa kasuku wa lumumba
 
Rule of law
Good governance

Hivyo tu
Huyo hawezi kuona mambo kama haya kwasababu ni mufilisi wa akili.

Nchi inaendeshwa kihuni bila utawala wa sheria, katiba inavunjwa hadharani lakini jinga bado linaimba mapambio.

Zero brains Lumumba.
 
This is free country,na kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake.Soma ibara ya 18 ya katiba ya JMT .
Kumbe unajua hii ni nchi huru!!Sasa unamwambia Nani akuachie taifa lako? Ni taifa lako na Mama ako ama vipi?tuko huru pia kuwasema mnapoleta Mambo ya kishamba,mmefail vibaya Sasa hamtaki kuambiwa,shenzi kabisa.
 
Back
Top Bottom