Kama wewe ni mmoja wa WASIOJULIKANA au ni ndugu na Makonda ukae ukijua tu kuwa ni suala la muda. Suala la kushambuliwa Lissu September 2017 haiwezi kufunikwa hata siku moja. Linasubiri muda muafaka na Mahakama sahihi.Ulete mahakamani ila anzia ofisi ndogo ya Lumumba kwa verification process
Pumbavu likipumbaa pumbaa nalo,Upumbavu wako ndio umeona yameandikwa yale yale,na mimi nipo sambamba kujua uhakika wa mnayo yaratibu bila ya kuwa na ushahidi uliosheheni vithibitisho,au japo kizibiti kidogo tu, Tuhuma kuzielekeza CCM ndio na wao wanazielekeza upinzani kusema ,wapinzani wanaumizana wenyewe kwa wenyewe.Jinga wewe unarudia kuandika ujinga
Tumeshaanza hio kazi ni suala la muda tu kuwamalizia kabla ya uchaguzi kuisha. Lissu akiwa Rais hatawakuta wakiwa hai ili awaburuze mahakamaniKama wewe ni mmoja wa WASIOJULIKANA au ni ndugu na Makonda ukae ukijua tu kuwa ni suala la muda. Suala la kushambuliwa Lissu September 2017 haiwezi kufunikwa hata siku moja. Linasubiri muda muafaka na Mahakama sahihi.
Majina yote ya wauaji wa kikundi cha WASIOJULIKANA yanafahamika. Labda muamue kuwaua nyie wenyewe kupoteza ushahidi
Hapo sawa. Ila forensic investigation haiwezi kumuacha Makonda salama hata mukiwaua WASIOJULIKANATumeshaanza hio kazi ni suala la muda tu kuwamalizia kabla ya uchaguzi kuisha. Lissu akiwa Rais hatawakuta wakiwa hai ili awaburuze mahakamani
HahahahaNa yeye mwenyewe Shocker alistahili kubakia kwenye condom aliyotumia baba yake ila bahati mbaya akapenya na mama yake akapata ovulation.
Karibu jamvini mkuu,umejitambulisha kwa LB7 wakongwe?Mauaji yanatokea, watu wanapotea, wengine wanashambuliwa, wengine wanaokotwa baharini, shutuma zimetokea kuelekezwa upande wa CCM.
Hivi vyama vya upinzani mnaweza kuweka ushahidi unaokubalika kuwa CCM na serikali yake wanahusika?
Vyama ambayo mpaka imebakiza siku moja ndio wanaanze kupiga makelele kuhusu Tume huru ya Uchaguzi mlishindwa nini ndani ya miaka mitano kulianzisha na kulivalia njuga, wacheni kubabaisha raia.
Imebakia siku tatu mnabana pua Tume sio huru, miaka minne mmeufyata, wapiga kura wawaelewe vipi, hata kulizungumzia hamkusikika, siku zote hizo hamkulijua, au mtasema mlizuiwa mikutano.
Nikirudi na mada shinikizi kuhusu ushahidi,kama mna ushahidi na mahakama imetupilia mbali basi mnaweza kulipiza kisasi kisasi kinaruhusiwa kidini ila kusamehe ni bora zaidi.
Hata wakiengua wagombea wenu wa Urais mnaweza kulipiza kisasi, kama mmethibitisha haki haikutendeka, hivi akienguliwa Magufuli mtapinga au mtakesha kwa furaha?
Ili iwe fundisho kama mmethibitisha CCM ndio mambo yao na nyinyi lipizeni kisasi cha uhakika na ijulikane kuwa hapa kisasi kimelipizwa.
Kama mtaishia kupiga makelele bila kutoa funzo ili mheshimiane mtabakia, vyombo vya dola havitendi haki, polisi wanaipendelea CCM, usalama wapo na chama tawala, kama mna ushahidi pambaneni kwa kulipiza kisasi dhidi ya CCM, basi hata hivyo vyombo vikiona mambo yanageuka watawapendeni kama wanavyowapenda CCM.
.
Mauaji yanatokea, watu wanapotea, wengine wanashambuliwa, wengine wanaokotwa baharini, shutuma zimetokea kuelekezwa upande wa CCM.
Hivi vyama vya upinzani mnaweza kuweka ushahidi unaokubalika kuwa CCM na serikali yake wanahusika?
Vyama ambayo mpaka imebakiza siku moja ndio wanaanze kupiga makelele kuhusu Tume huru ya Uchaguzi mlishindwa nini ndani ya miaka mitano kulianzisha na kulivalia njuga, wacheni kubabaisha raia.
Imebakia siku tatu mnabana pua Tume sio huru, miaka minne mmeufyata, wapiga kura wawaelewe vipi, hata kulizungumzia hamkusikika, siku zote hizo hamkulijua, au mtasema mlizuiwa mikutano.
Nikirudi na mada shinikizi kuhusu ushahidi,kama mna ushahidi na mahakama imetupilia mbali basi mnaweza kulipiza kisasi kisasi kinaruhusiwa kidini ila kusamehe ni bora zaidi.
Hata wakiengua wagombea wenu wa Urais mnaweza kulipiza kisasi, kama mmethibitisha haki haikutendeka, hivi akienguliwa Magufuli mtapinga au mtakesha kwa furaha?
Ili iwe fundisho kama mmethibitisha CCM ndio mambo yao na nyinyi lipizeni kisasi cha uhakika na ijulikane kuwa hapa kisasi kimelipizwa.
Kama mtaishia kupiga makelele bila kutoa funzo ili mheshimiane mtabakia, vyombo vya dola havitendi haki, polisi wanaipendelea CCM, usalama wapo na chama tawala, kama mna ushahidi pambaneni kwa kulipiza kisasi dhidi ya CCM, basi hata hivyo vyombo vikiona mambo yanageuka watawapendeni kama wanavyowapenda CCM.
.
[/QUOTE
ushahidi kamuulize NAPE kwanza
Genge la wahuni but ndo linakuongoza mkuu😀. Anything else!!?CCM mpya ni genge la wahuni