afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,152
- 9,268
Ahsante Mungu kwa kunionyesha kiumbe hiki.
Hii ndio tabia ambayo ni sugu kwa members wengi humu ndani.
Mtu kama Nosing foo gudi alitoa posti hapa akadai kafanikiwa kulala na mume wa jirani yake, akajipongeza and then akataka apongezwe humu ndani. Ni wazi ana akili timamu sana ila kazisoma akili za members wengi JF akaona kwamba ili post lake libaki kileleni ngoja apost maujinga ili kadri watu wanavyosiliba post lake ndio wanavyozidi kuliweka hewani mada la ujinga, na mwishowe inafanya tuonekane wote wajinga.
Mi nadhani kusiliba kwa kumwambia mtu LIVE ana kwa ana ni tofauti kidogo na hapa.
Hapa njia muafaka ya kusiliba ni kuangalia post, na ukichangia sana piga![]()
Itakuwa ni adhabu tosha akiziona hizo nyingi au akiona watu walio View ni 700 Replies 0
Vinginevyo atajiona mshindi
Me looveeeee
ur idea so much
chenki youuuuuuuu ..lol
For realy
I think is brilliant
what u just say
thumbs down mmhh
That's way to go...
The question is
do you qulify to be
NEXT TOP GREAT THINKER?
Mmmhh PM me if u want to know the answer
..30sec left..lol