MMU na Lugha gongana!

Elia

JF-Expert Member
Dec 30, 2009
3,425
567
Tusiharibu MMU, Nikiwa mdogo nilisimuliwa story ya mlevi aliyekuwa anapiga kelele kijijini kila siku akitoka kulewa, Nakufaaaa, Nisaidieniiii, fisiiiiii, simbaaa,weziiii, nabakwaaaa, nk nk. Watu wakitoka kumsaidia ana waambia aaah, nilitaka mje mnisindikize nyumbani . Walevi wenye tabia hii wakaongezeka ikawa kero kubwa sana hata ilifika mahali wanakijiji wakawa wanapuuza mayowe na kuto jali kelele, siku alipo hitaji msaada hakuna aliye msaidia wakijua ni kawaida yake kupiga kelele. Najua sio Hadithi ngeni kwa wengi wetu, na sio lengo langu kusimulia hii hadithi ila tukumbushane tusijisahau
Tunapoomba ushauri MMU tuwe wawazi tuwekane sawa kama ni wewe, rafiki, jirani ndugu au ni story ya mtaani iweke wazi wataalam wetu hapa MMU wajue jinsi ya kuchangia. Inachekesha/inabore leo umeandika mkewangu… kesho mumewangu… Watu wanakuwa touched na story wanachangia kutoka moyoni Siku yakikukuta ukatoa ishu ya ukweli member wataichinjia thread yako baharini when you need them the most…. Na wale wenye ID zaidi ya moja try to be smart.
 
Umenena vyema yaani siku hizi kunaboa sana mpaka basi na imekuwa comedy tu hapa maana unakuta mtu jana kasema natafuta mchumba mara anakuja nina mume miaka kumi, mara ooohhh nilikuwa na mpenzi mara natafuta mchumba mtu yuleyule jamani tusifanyane wajinga hapa tuko ili kusaidiana mawazo sasa watu wanapoleta mzaha inaudhi sana mpaka watu wanakata tamaa kuchangia mwingine ana ID nyingi anajichanganya mwenyewe kuweni smart ujichunge.

Nawasilisha mkuu
 
Umenena vyema yaani siku hizi kunaboa sana mpaka basi na imekuwa comedy tu hapa maana unakuta mtu jana kasema natafuta mchumba mara anakuja nina mume miaka kumi, mara ooohhh nilikuwa na mpenzi mara natafuta mchumba mtu yuleyule jamani tusifanyane wajinga hapa tuko ili kusaidiana mawazo sasa watu wanapoleta mzaha inaudhi sana mpaka watu wanakata tamaa kuchangia mwingine ana ID nyingi anajichanganya mwenyewe kuweni smart ujichunge.

Nawasilisha mkuu

Nashukuru DA kwa kuliona hili, Kwa nini watu hawatoi ukweli, sio kilakitu lazima mtu awe yeye
 
Nashukuru DA kwa kuliona hili, Kwa nini watu hawatoi ukweli, sio kilakitu lazima mtu awe yeye


Jana siku yangu imeharibisa sana baada ya kusema ukweli kuwa watu wanatuchezea akili maana nilipata PM za matusi mpaka nikashiba mwenyewe lakini sitaacha kusema kweli hapa tusichezeane akili kabisa kwanini watu tupoteze muda, akili zetu kushauri ujinga???? na Uongo uliotungwa???
 
Jana siku yangu imeharibisa sana baada ya kusema ukweli kuwa watu wanatuchezea akili maana nilipata PM za matusi mpaka nikashiba mwenyewe lakini sitaacha kusema kweli hapa tusichezeane akili kabisa kwanini watu tupoteze muda, akili zetu kushauri ujinga???? na Uongo uliotungwa???

Na hao ndio wanaotaka kutuharibia, tusipate maushauri ya nguvu, But keep it up dadaa!
 
Jana siku yangu imeharibisa sana baada ya kusema ukweli kuwa watu wanatuchezea akili maana nilipata PM za matusi mpaka nikashiba mwenyewe lakini sitaacha kusema kweli hapa tusichezeane akili kabisa kwanini watu tupoteze muda, akili zetu kushauri ujinga???? na Uongo uliotungwa???

Mbona na mimi nilivyomquote hakurudi tena akakimbia thread yake nadhani ndio maana akaamua kumalizia hasira kwako, angerudi tena aone tungemuanikaje? watu wanafikiri watu tunacheza hapa
 
Na hao ndio wanaotaka kutuharibia, tusipate maushauri ya nguvu, But keep it up dadaa!


Sitaacha kusema ukweli daima!!! Kuna mwingine huko analalamika nashangaa kama unaleta ujinga unaambiwa bana hatuogopani hapa kwa kuchezeana akili watu wazima wamejaa humu na wapo watu wanahitaji msaada wa jamii sasa tukianza kuoneana haya inakuwa ni shida kubwa
 
Mbona na mimi nilivyomquote hakurudi tena akakimbia thread yake nadhani ndio maana akaamua kumalizia hasira kwako, angerudi tena aone tungemuanikaje? watu wanafikiri watu tunacheza hapa

Aliona watu wamemshangaa na wewe ulivyomquote ndo kaona mmmhh mbioooo
 
Kabisa kuna wengine hata sijui jinsia zao wala marital status zao maana leo wataibuka leo demu wangu, kesho utasikia BF wangu...... kabisaaaaaaaaaaa umenena.....
 
Dahhh
Haya bwana

Lakini
ningependa kuwakumbusha
Hapa ni tunapigia mbuzi debe
mtu anapotoa topic ambayo haina manufaa ye yot e
sisi ndo wa kwanza kuchangia na kumkemea
Hapo anapata kichwa sababu poster
zinaongezeka kwenye thread yake..
cha kufanya labda tusichangie kabisa..

Na tukumbuk
kuna kizazi kipya humu..
heshima yababu na bibi
Imepungua kwa kasi kubwa..

Ndo maana
watu wenye short temper
Kama mimi ..mara nyingi
Tunaa achia tu..
 
  • Thanks
Reactions: CPU
Jana siku yangu imeharibisa sana baada ya kusema ukweli kuwa watu wanatuchezea akili maana nilipata PM za matusi mpaka nikashiba mwenyewe lakini sitaacha kusema kweli hapa tusichezeane akili kabisa kwanini watu tupoteze muda, akili zetu kushauri ujinga???? na Uongo uliotungwa???

mimi huwa nawapaka sana humu ...na huwa nagundua haraka sana kuwa huyu mtu anadanganya.....kuna key words mtu anazitumia lakini huwa hazitally kutoka line moja kwenda nyingine.....kuna mmoja alidanyanga hapa nikamwambia kuwa wewe ni muongo....bsi kuna mtu mmoja humu anaitwa mpendwa ......jamaa akaleta thread za zamani za mtoa mada ambazoni tofauti kabisa na ile tuliyokuwa tunajadili hapa....nyingine anasema ameolewa ana miaka 0 ndoani na nyingine ana mpenzi kwa miezi miwili

 
Jana siku yangu imeharibisa sana baada ya kusema ukweli kuwa watu wanatuchezea akili maana nilipata PM za matusi mpaka nikashiba mwenyewe lakini sitaacha kusema kweli hapa tusichezeane akili kabisa kwanini watu tupoteze muda, akili zetu kushauri ujinga???? na Uongo uliotungwa???

Waripoti kwa Invisible au xyln JF moderator,wao wanaamini kwa kuwa ni PM basi huwezi kuwashtaki wakapewa ban but you can do it kama umechoka lakini na matusi yao ila kama unafurahia.............
 
Elia umenena! jamaa wanadhani wapo kindergarten na story zao za kutunga.
 
AD Pole na Msiba!

Hivi Computer yako huwa inakuwaje maana misitari yako uwa inaishia katikati ya ukurasa?
 
Tusiharibu MMU, Nikiwa mdogo nilisimuliwa story ya mlevi aliyekuwa anapiga kelele kijijini kila siku akitoka kulewa, Nakufaaaa, Nisaidieniiii, fisiiiiii, simbaaa,weziiii, nabakwaaaa, nk nk. Watu wakitoka kumsaidia ana waambia aaah, nilitaka mje mnisindikize nyumbani . Walevi wenye tabia hii wakaongezeka ikawa kero kubwa sana hata ilifika mahali wanakijiji wakawa wanapuuza mayowe na kuto jali kelele, siku alipo hitaji msaada hakuna aliye msaidia wakijua ni kawaida yake kupiga kelele. Najua sio Hadithi ngeni kwa wengi wetu, na sio lengo langu kusimulia hii hadithi ila tukumbushane tusijisahau
Tunapoomba ushauri MMU tuwe wawazi tuwekane sawa kama ni wewe, rafiki, jirani ndugu au ni story ya mtaani iweke wazi wataalam wetu hapa MMU wajue jinsi ya kuchangia. Inachekesha/inabore leo umeandika mkewangu… kesho mumewangu… Watu wanakuwa touched na story wanachangia kutoka moyoni Siku yakikukuta ukatoa ishu ya ukweli member wataichinjia thread yako baharini when you need them the most…. Na wale wenye ID zaidi ya moja try to be smart.


Safi sana
Nadhani wale akina NOSING FOO GUD, NOTI ENAFU na wengine wa taipu kama hiyo wamekapata kaujumbe
La sivyo tutaendelea kuwachinjia baharini, maana wakinena ukweli tutashindwa kutofautisha na mizaha yao
 
Dahhh
Haya bwana

Lakini
ningependa kuwakumbusha
Hapa ni tunapigia mbuzi debe
mtu anapotoa topic ambayo haina manufaa ye yot e
sisi ndo wa kwanza kuchangia na kumkemea
Hapo anapata kichwa sababu poster
zinaongezeka kwenye thread yake..
cha kufanya labda tusichangie kabisa..


Na tukumbuk
kuna kizazi kipya humu..
heshima yababu na bibi
Imepungua kwa kasi kubwa..

Ndo maana
watu wenye short temper
Kama mimi ..mara nyingi
Tunaa achia tu..

Ahsante Mungu kwa kunionyesha kiumbe hiki.
Hii ndio tabia ambayo ni sugu kwa members wengi humu ndani.
Mtu kama Nosing foo gudi alitoa posti hapa akadai kafanikiwa kulala na mume wa jirani yake, akajipongeza and then akataka apongezwe humu ndani. Ni wazi ana akili timamu sana ila kazisoma akili za members wengi JF akaona kwamba ili post lake libaki kileleni ngoja apost maujinga ili kadri watu wanavyosiliba post lake ndio wanavyozidi kuliweka hewani mada la ujinga, na mwishowe inafanya tuonekane wote wajinga.
Mi nadhani kusiliba kwa kumwambia mtu LIVE ana kwa ana ni tofauti kidogo na hapa.
Hapa njia muafaka ya kusiliba ni kuangalia post, na ukichangia sana piga
Itakuwa ni adhabu tosha akiziona hizo nyingi au akiona watu walio View ni 700 Replies 0
Vinginevyo atajiona mshindi
 
AD Pole na Msiba!

Hivi Computer yako huwa inakuwaje maana misitari yako uwa inaishia katikati ya ukurasa?

Sante sana dear
.
nway kuhusu
kuacha mistari
Nusu hiyo we ndo
umeniambia leo hahaalol

Ni
mazoea tu
sijui kama ni mabaya au mazuri..
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom