Habri niliyoipata hivi
punde nikiwa mjini Iringa ni kuwa askari mmoja kati ya sita waliokamatwa
amefikishwa mahakamani,ni yule aliyefyatua bomu.Wengine watano ambao
nao walimpa kipondo marehemu wameachiwa.Hii inatokana na maombi ya
mtuhumiwa mwenyewe kuwa yeye ndiye aliyeua na wengine waachiwe.Kutokana
na ombi ilo alipelekwa kwa mlinzi wa amani Ijumaa na confession yake
kuchukuliwa na mlinzi wa amani.Leo hii kapelekwa mahakamani.Wadau
tisujadili ili suala kwani tayari liko mahakamani,lakini naona haki
haijatendeka inabidi na hao watano na RPC wao nao washitakiwe.
Habri niliyoipata hivi punde nikiwa mjini Iringa ni kuwa askari mmoja kati ya sita waliokamatwa amefikishwa mahakamani,ni yule aliyefyatua bomu.Wengine watano ambao nao walimpa kipondo marehemu wameachiwa.Hii inatokana na maombi ya mtuhumiwa mwenyewe kuwa yeye ndiye aliyeua na wengine waachiwe.Kutokana na ombi ilo alipelekwa kwa mlinzi wa amani Ijumaa na confession yake kuchukuliwa na mlinzi wa amani.Leo hii kapelekwa mahakamani.Wadau tisujadili ili suala kwani tayari liko mahakamani,lakini naona haki haijatendeka inabidi na hao watano na RPC wao nao washitakiwe.
ngonani said:Wadau tisujadili ili suala kwani
tayari liko
mahakamani
Hivi huyo Mlinzi wa Amani ndo nani?????/
Ndio tatizo la polisi kuwa waendesha mashitaka, wapelezi na watuhumiwa