kwenye avatar yako, hapo v inapoishia/inapoanzia panaitwa ndumandu, nilipokuwa chuo kuna room mate wangu flan alikuwa nayo kubwa hakunaga he hee afu anavaa suruali za kupa-bana zaidi. Alikuwa analalamika sana kuwa kila anaekuja mbele yake lazima amuangalie sana maeneo ya ndumandu.
Unanikumbusha chuo kila nikipaangalia