Mmmhhh. . . . . . . .huku ni kupenda ama ulimbukeni?

Mmmhhh. . . . . . . .huku ni kupenda ama ulimbukeni?

THECHANCE

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
301
Reaction score
121
Wana MMU nawasalimu!
(hasa Madame B)

(naombeni nitumie uandishi wa ki fb)
Kuna she mmoja rafiki yangu sana ana bf wake anaefanya kazi kwenye taasisi kubwa sana hapa tz. Tatizo linaanzia hapa! Jamaa kapiga mzigo weeeeeee hadi kaukinai(mtazamo wangu huu plz usijihusishe na hisia zangu). Mwishowe jamaa kaamua kupiga chini. . . . . . . .lakn she anaonekana kakolea kwa mchizi!

Jamaa anampa she mistreatment za kutosha, madisappointment za maana mf. mm ni msomi huniambi kitu, mm nina hela ww sibabaishi na mashori, mara anampa shori mwngne ampigie cm amchambe ooh kwann unawasumbua waume wa watu nk nk namaanisha ni nyng mno. Lakn pia jamaa anaweza kumwita she amsindikize sehemu na she akaenda(na bila shaka anapakua na mzigo pia). Jamaa anaweza kumwambia she naomba uje tuzungumze lakn jamaa haonekani km anaongea point(nahisi jamaa anajipozea kiujanja),
she akifika baada ya maongezi machache jamaa anasema nimepigiwa simu kazn kuna dharura then nduki. Kumbuka maongezi yote yanafanyika gheto!

Kwa kifupi she anatumika km mndoco then tupa kule(am a man am sure about the end of this game).

Najiuliza hv nyie dada zetu huwa hamung'amui muelekeo wa michezo mnayochezewa ama ndio mapenzi yanawakoleaga jamani?
 
Last edited by a moderator:
ukisikia magaba niue

Mahaba niteketeze ndo hayo


Ila siku huyo dada akisema inatosha, huyo mwanaume utamhurumia
 
hapo bado akili haijarudi...ikirudi akiachia ngazi jamaa atakuja juta sana
 
huyo dada anajipa moyo labda jamaa atabadilika but siku moja atagundua anafanywa mjinga hapo hata jamaa afanye nini she will never go back to him.
 
Kumpenda mtu siyo dhambi,na kumwonesha mtu kwamba unampenda siyo makosa,jamaa game iko upande wake ila iko siku mambo yatabadilika na atatamani siku zirudi nyuma.
 
Wana MMU nawasalimu!
(hasa Madame B)

(naombeni nitumie uandishi wa ki fb)
Kuna she mmoja rafiki yangu sana ana bf wake anaefanya kazi kwenye taasisi kubwa sana hapa tz. Tatizo linaanzia hapa! Jamaa kapiga mzigo weeeeeee hadi kaukinai(mtazamo wangu huu plz usijihusishe na hisia zangu). Mwishowe jamaa kaamua kupiga chini. . . . . . . .lakn she anaonekana kakolea kwa mchizi!

Jamaa anampa she mistreatment za kutosha, madisappointment za maana mf. mm ni msomi huniambi kitu, mm nina hela ww sibabaishi na mashori, mara anampa shori mwngne ampigie cm amchambe ooh kwann unawasumbua waume wa watu nk nk namaanisha ni nyng mno. Lakn pia jamaa anaweza kumwita she amsindikize sehemu na she akaenda(na bila shaka anapakua na mzigo pia). Jamaa anaweza kumwambia she naomba uje tuzungumze lakn jamaa haonekani km anaongea point(nahisi jamaa anajipozea kiujanja),
she akifika baada ya maongezi machache jamaa anasema nimepigiwa simu kazn kuna dharura then nduki. Kumbuka maongezi yote yanafanyika gheto!

Kwa kifupi she anatumika km mndoco then tupa kule(am a man am sure about the end of this game).

Najiuliza hv nyie dada zetu huwa hamung'amui muelekeo wa michezo mnayochezewa ama ndio mapenzi yanawakoleaga jamani?


samahani bro,usimshangae sana huyo binti.hiyo ni hali ya kawaida kabisa katika maisha ya kimapenzi na ni maisha ya kimpito tu.ukweli ni kwamba kama ulishawahi kupenda then kuna kipindi flani "ulishawahi kuwa ---- au teja wa penzi la mtu flani"uwe mdada au mkaka lazima kuna mtu alisha wahi kukufanya ----,boya au ndocha kwake,ukaumia sana na ukawa unahisi huwezi kuishi bila kuwa nae.huwa inafika kipindi akili inarudi,ikisharudi basi hapo ndo inakuwa tena tatizo kwa yule aliyekuwa anakufanya ----,kwanza roho itakuwa inauma kwa kumpoteza "mtumwa"wake afu pia wivu wa kutokukubali kumuona na mtu mwingine.yaani baadae utakuta anayeumia zaidi ni aliyekuwa akitenda.ni hali ya kawaida kabisa katika maisha ya mapenzi.huwa ni experience nzuri sana katika maisha kwani hapo baadae utahisi huwezi tena kumzimikia mtu mwingine kama ulivyomzimikiaga huyo x wako wakati akikutenda.then tokea hapo kila utakapokuwa ukiingia kwenye mapenzi na mtu lazima mind yake itakuwa inabaki conscious.siku ukiona mambo hayaendi sawa kutakuwa kuna phrase kichwani mwako inakuambia..."kama vipi aende tu mi nishachoka" au "kama vipi kila mtu achukue hamsini zake"kufikia hatua hiyo sasa hapo unakuwa ushakuwa "mtu mzima"katika maisha ya kimapenzi
 
Wana MMU nawasalimu!
(hasa Madame B)

(naombeni nitumie uandishi wa ki fb)
Kuna she mmoja rafiki yangu sana ana bf wake anaefanya kazi kwenye taasisi kubwa sana hapa tz. Tatizo linaanzia hapa! Jamaa kapiga mzigo weeeeeee hadi kaukinai(mtazamo wangu huu plz usijihusishe na hisia zangu). Mwishowe jamaa kaamua kupiga chini. . . . . . . .lakn she anaonekana kakolea kwa mchizi!

Jamaa anampa she mistreatment za kutosha, madisappointment za maana mf. mm ni msomi huniambi kitu, mm nina hela ww sibabaishi na mashori, mara anampa shori mwngne ampigie cm amchambe ooh kwann unawasumbua waume wa watu nk nk namaanisha ni nyng mno. Lakn pia jamaa anaweza kumwita she amsindikize sehemu na she akaenda(na bila shaka anapakua na mzigo pia). Jamaa anaweza kumwambia she naomba uje tuzungumze lakn jamaa haonekani km anaongea point(nahisi jamaa anajipozea kiujanja),
she akifika baada ya maongezi machache jamaa anasema nimepigiwa simu kazn kuna dharura then nduki. Kumbuka maongezi yote yanafanyika gheto!

Kwa kifupi she anatumika km mndoco then tupa kule(am a man am sure about the end of this game).

Najiuliza hv nyie dada zetu huwa hamung'amui muelekeo wa michezo mnayochezewa ama ndio mapenzi yanawakoleaga jamani?

Mimi wala mbona sijaona tatizo hapo mdada anaitiwa kuja kuramba asali mwenyewe anafurahi na kuja mbiombio halafu anarambishwa fulu mziki mpaka anajisikia freeeesh hizo gozigozi zingine sio ishu kwake
 
Ushasema a nafanya kazi taasisi kubwa na siku hizi wanaelezwa mwanaume pesa mengine tutavumiliana. Zigo lake ilo muache ahangaike nalo
 
Wana MMU nawasalimu!
(hasa Madame B)

(naombeni nitumie uandishi wa ki fb)
Kuna she mmoja rafiki yangu sana ana bf wake anaefanya kazi kwenye taasisi kubwa sana hapa tz. Tatizo linaanzia hapa! Jamaa kapiga mzigo weeeeeee hadi kaukinai(mtazamo wangu huu plz usijihusishe na hisia zangu). Mwishowe jamaa kaamua kupiga chini. . . . . . . .lakn she anaonekana kakolea kwa mchizi!

Jamaa anampa she mistreatment za kutosha, madisappointment za maana mf. mm ni msomi huniambi kitu, mm nina hela ww sibabaishi na mashori, mara anampa shori mwngne ampigie cm amchambe ooh kwann unawasumbua waume wa watu nk nk namaanisha ni nyng mno. Lakn pia jamaa anaweza kumwita she amsindikize sehemu na she akaenda(na bila shaka anapakua na mzigo pia). Jamaa anaweza kumwambia she naomba uje tuzungumze lakn jamaa haonekani km anaongea point(nahisi jamaa anajipozea kiujanja),
she akifika baada ya maongezi machache jamaa anasema nimepigiwa simu kazn kuna dharura then nduki. Kumbuka maongezi yote yanafanyika gheto!

Kwa kifupi she anatumika km mndoco then tupa kule(am a man am sure about the end of this game).

Najiuliza hv nyie dada zetu huwa hamung'amui muelekeo wa michezo mnayochezewa ama ndio mapenzi yanawakoleaga jamani?

we achana na mahaba yashanikuta hyo mimi nilikuwa nampa hadi hela bt mwenyewe akaniona cna maana nikaamua kujiweka kando sa hv ananililia turudiane mi ndo ctaki hta kumsikia atajuta hyo mwanaume cku moja
 
Last edited by a moderator:
kulikoni kumtesa ivo mdada wa watu? kama hampendi amuambie kabisa sikupendi na usinifuatefuate..
na apa wanaume wanalalamika hakuna wasichana wenye mapenzi ya kweli..na wakipendwa mbwembwe nyiiingiiii
Wana MMU nawasalimu!
(hasa Madame B)

(naombeni nitumie uandishi wa ki fb)
Kuna she mmoja rafiki yangu sana ana bf wake anaefanya kazi kwenye
taasisi kubwa sana hapa tz. Tatizo linaanzia hapa! Jamaa kapiga mzigo
weeeeeee hadi kaukinai(mtazamo wangu huu plz usijihusishe na hisia
zangu). Mwishowe jamaa kaamua kupiga chini. . . . . . . .lakn she
anaonekana kakolea kwa mchizi!

Jamaa anampa she mistreatment za kutosha, madisappointment za maana mf.
mm ni msomi huniambi kitu, mm nina hela ww sibabaishi na mashori, mara
anampa shori mwngne ampigie cm amchambe ooh kwann unawasumbua waume wa
watu nk nk namaanisha ni nyng mno. Lakn pia jamaa anaweza kumwita she
amsindikize sehemu na she akaenda(na bila shaka anapakua na mzigo pia).
Jamaa anaweza kumwambia she naomba uje tuzungumze lakn jamaa haonekani
km anaongea point(nahisi jamaa anajipozea kiujanja),
she akifika baada ya maongezi machache jamaa anasema nimepigiwa simu
kazn kuna dharura then nduki. Kumbuka maongezi yote yanafanyika gheto!

Kwa kifupi she anatumika km mndoco then tupa kule(am a man am sure about
the end of this game).

Najiuliza hv nyie dada zetu huwa hamung'amui muelekeo wa michezo
mnayochezewa ama ndio mapenzi yanawakoleaga jamani?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom