Sasa hivi mkuu wa nchi kavurugwa sana. Sasa hizo habari gani? Juzi tulisikia waganga sijui wachawi wa kisukuma wanatoa vitisho daaah ukabila nje nje. Huyo Musiba ananikumbusha radio ya kangura ya Rwanda
Wakuu Me ni msomaji wa magazeti...mbona ilo gazeti ndo nalijua leo ¿kwan Linauzwa dar pekee?
From Kajunjumele
AF mbona Photoshop ina hisa (95%) nying kwenye ilo gazen...