Huyo babu nae alikuwa kama wewe enzi anazitafuta hizo pesa...
Mpaka kuzipata ubabu ushamfika afanyaje sasa... Mwacheni ajilie...
Hata wewe mtoa mada usipotumia ujana wako vizuri kwa kutegemea mpaka siku utakapozipata utakuwa kama huyo unayemuita babu sasa hivi...
Japo maisha siyo kutesa kila siku, pesa ndiyo kila kitu...
Cc:
mahondaw