Mmiliki wa UDA bwana Kisena afukuzwa na TBA kwa kudaiwa kodi ya pango zaidi ya sh.500,000,000/=

Euphransia

JF-Expert Member
Jan 26, 2017
937
778
Mmiliki wa UDA Bw.Robert Kisena Leo ametolewa kwenye Nyumba ya Wakala wa Majengo Tanzania TBA Kwa kushindwa kulipa deni la pango analodaiwa.

Kampuni ya Madalali ya YONO ndio iliyomtoa.
 
Afukuzwe tu. Sisi bado tuko busy na uhakiki wa vyeti. Msitake kutusahaulisha.
 
Back
Top Bottom