Mbivu na mbichi zitajulikana tu, mwisho wa siku akina MEENGI watatajwa alivyohusika kuhujumu mjadala wa ESCROW. Niwaulize wapendwa LUDOVICK UTHO ni kabila gani, isije ikawa wanatoka mkoa mmoja na MENGI, MBOWE, MNYIKA n.k
linakiburi sana hilo lijamaa "unafikiri mimi muhindi?" ....
Ok mm sikujua kuwa Mnyika katokea Kondoa maana huko wamejaa Mrijo ChiniAliekuambia Mnyika anatokea Kilimanjaro ni nani..?
Ok mm sikujua kuwa Mnyika katokea Kondoa maana huko wamejaa Mrijo Chini
Kila siku nilijua ni Mpare na kutokana na ubishi wake nikaamini Upareni ipo Kilimanjaro
sasa kumbe ni Tanga Oppps Dodoma haya ngoja nikutafutie CV kwa BMT pale Dodoma
Msalala?
mjuwekezaji gani anawekeza 100 harafu anakwiba 150 hana faida hata kidogo acha akawekeze nchi zingine