Tatizo moja la eneo hilo ni mipaka ya asili haikufuatwa,ukiangalia ramani ya sasa,Mji wa Yerusalem umepitiwa na mpaka wa Palestina na Israel,kingine sijui kwa nini Israel iliamua kukubali baadhi ya miji yake ya aslli kuwa chini ya Palestina,kwa mfano Yeriko,Hebron na Bethlehem...Ukiangalia mji wa Hebron ni mji ambao Mfalme Daudi wakati anaanza kutawala alianzia Hebron ambako alikaa miaka 7 na miezi 6 ndipo akahamia Yerusalem lakin leo mji huu uko chini ya utawala wa Palestina. Pia Bethlehem kapewa Palestina,huu mji unajulikana wazi kuwa ndio aliozaliwa Mfalme Daudi pia na "MASIHI" .Kwa hiyo Wakristo wanapoenda wakati wa X-mas huwa lazima waruhusiwe na Mamlaka ya Palestina na huwa miaka yote huwa wanaenda kasoro X-mas ya mwaka jana hawakwenda kutokana na vita inayoendelea.