inspekta abinho
Member
- Aug 2, 2014
- 43
- 7
JE UNAFAHAMU? Konokono hana mfupa wowote kwenye mwili wake na pia konokono ni aina ya "Hermaphrodites",
Kwa maana wanamiliki jinsia mbili(kiume na kike). Kwenye kujamiiana wanaviziana, atakaeruhusu kupandwa ndiyo atataga mayai.Huyo ndio konokono:: lakin embu fikiria: binadamu tungekua
"Hermaphrodites" na hizi akili zetu ingekuwaje? Tungetembeleana kweli? Mkeo ukimzingua anakuvizia usiku umelala anakupa mimba! Unacheka!, shauri yako shukuru Mungu...
Kwa maana wanamiliki jinsia mbili(kiume na kike). Kwenye kujamiiana wanaviziana, atakaeruhusu kupandwa ndiyo atataga mayai.Huyo ndio konokono:: lakin embu fikiria: binadamu tungekua
"Hermaphrodites" na hizi akili zetu ingekuwaje? Tungetembeleana kweli? Mkeo ukimzingua anakuvizia usiku umelala anakupa mimba! Unacheka!, shauri yako shukuru Mungu...