bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,374
- 3,972
Kama hauna kazi nenda shamba ukalime,umemaliza degree yako usisubirie ajira nenda kalime inalipa sana.
Watu wameitikia mwaliko kwa moyo wote,sasa bei zinavoporomoka kwa kasi mpaka tunabaki midomo wazi.Mfano Vitunguu ilikua inasoma 150,000 na kuendelea msimu huu ila sasa hivi hata 80,000 yenyewe unakopwa ukipata shukuru.Ukiangalia jinsi ulivowekeza fedha na muda(mpaka nimekosana na familia siwapi muda ni shamba tu).TAHA wamehamasisha watu wawekeze kwenye green house sasa hivi wanawakimbia wamekosa pa kuuzia bidhaa zao.
Nini kifanyike?
Watu wameitikia mwaliko kwa moyo wote,sasa bei zinavoporomoka kwa kasi mpaka tunabaki midomo wazi.Mfano Vitunguu ilikua inasoma 150,000 na kuendelea msimu huu ila sasa hivi hata 80,000 yenyewe unakopwa ukipata shukuru.Ukiangalia jinsi ulivowekeza fedha na muda(mpaka nimekosana na familia siwapi muda ni shamba tu).TAHA wamehamasisha watu wawekeze kwenye green house sasa hivi wanawakimbia wamekosa pa kuuzia bidhaa zao.
Nini kifanyike?