Mmehamasisha Kilimo,Hakuna pa kuuzia!

Mmehamasisha Kilimo,Hakuna pa kuuzia!

-->>MIPANGILIO MIBOVU ILIYOPO NCHINI NA TARATIBU ZA HIVYO...
HIYO KITU NI HOT CAKE KENYA,SOMALI NA KONGO..../
-->>WAWEPO MAWAKALA WA UNUNUZI MAZAO NA USAFIRISHAJI NJE YA NCHI...../ HUKU SEREKALI IKILISIMAMIA HILI KWA KU-BALANCE NA MATUMIZI NA SOKO LA NDANI ILI TAIFA LISIPUNGUKIWE NA CHAKULA./ NA MKULIME ALIME KWA FAIDA.
++>>akili kidogo sana...
 
Mimi katika utafiti wangu kwa ajili ya masomo ya masters katika chuo kimoja cha uingereza (uk) mwaka jana (2016) nilifanya utafiti kuhusu factors zinazo affect food price "Factors Affecting Food Price Inflation in Tanzania". Kitu nilichogundua based on the data i collected and analysed ni kwamba kuna factors zaidi ya 20 zinazo affect bei za mazao ila the most significant factors nilizopata ni hizi hapa:
a) Money supply - kiwango cha mzunguko wa fedha katika uchumi
b) GDP growth rate - yaani ukuaji wa uchumi, are we in growth or reccession
c) Rainfall - kiwango cha mvua kwa mwaka husika
d) Exchange rates - ina impact kwenye bei ya imported agro inputs
e) Fuel prices - bei ya mafuta coz ina direct effect on transportation costs, hence, bei
f) Population size - idadi ya watu, yaani demand
g) Food production - output, yaani supply
h) Food exports - how much are we selling outside the country
i) Food imports - how much we import from from outside the country

So it is very difficult ku predict bei za mazao thats why biashara ya kilimo inakuwa pasua kichwa. There are so many variables ambazo zinaweza kuinfluence bei za mazao. Inabidi ufanye research sana kabla ya kuamua ulime nini na wapi. I submit.

Hakuna nadharia ya uchumi wanayopima kwa kuweka variables nyingi kwa pamoja na kwa wakati mmoja vinginevyo wangeondoa maneno " other things remaining constant".

Wakulima halisi na siyo wa mitandaoni wanajua jinsi ya kucheza na bei,tatizo linaakuja serikali inapoanza kupanga bei au kuamua nini kizalishwe bila kuachwa.Ili unielewe fuatilia kilimo cha kahawa kuachwa na wahusika kujikita kwenye mboga mboga.

Kuyumba kwa bei kupo Dunia nzima kwa mazao ya kilimo,Ulaya na Marekani kwa mazao muhimu wanayalinda kwa kufidia hasara kwa wakulima (subsidize),Kwa kuwa sisi hukariri badala ya kufikiri,au huwaachia ngozi nyeupe ifikiri kwa niaba yetu huamini kuwa kila kitu tuachie soko liamue.
Lengo la ngozi nyeupe endapo wazalishaji wote wa mazao ya chakula watalindwa na nchi zao ziada toka Ulaya na Marekani itakosa pakwenda pia maskini wanaopenda kutegemea misaada badala ya kufanya kazi hawatakamatwa kiraahisi.

Kama kuna njaa mahali ulipozaliwa na kwenu kuna familia ya watu 3 au 4 tu je tunaohojiana humu wote hatuna uwezo wa kufanya chochote. Kama jibu ni ndiyo wote hatuna uwezo je tunastahili kujiita great thinkers?
 
Ndicho unachoamini siwezi kukiondoa kichwani mwako hadi uamue mwenyewe kukiondoa,kama unavyodhani kuna anayehitajika kufikiri kwa niaba yako ulime nini,ulime lini na uuze wapi.Nimezaliwa katika familia ya wakulima na ninanendelea kulima.

Nimetokea katika familia ambayo haijawahi kulalamika njaa.Wote jirani zetu walikuwa wanavuna na kuvuruga walichovuna miezi 6 baadaye kila mwaka walilalamika njaa.Kama una lima na unafuatilia waliokuzunguka wanafanya nini lete hapa jukwaani mtirirko wa matukio mahali unapolima au mahali ulipozaliwa nitakupa majibu.Usieleze ni wapi eleza tu mlolongo wa matukio halisi.
 
Ndicho unachoamini siwezi kukiondoa kichwani mwako hadi uamue mwenyewe kukiondoa,kama unavyodhani kuna anayehitajika kufikiri kwa niaba yako ulime nini,ulime lini na uuze wapi.Nimezaliwa katika familia ya wakulima na ninanendelea kulima.

Nimetokea katika familia ambayo haijawahi kulalamika njaa.Wote jirani zetu walikuwa wanavuna na kuvuruga walichovuna miezi 6 baadaye kila mwaka walilalamika njaa.Kama una lima na unafuatilia waliokuzunguka wanafanya nini lete hapa jukwaani mtirirko wa matukio mahali unapolima au mahali ulipozaliwa nitakupa majibu.Usieleze ni wapi eleza tu mlolongo wa matukio halisi.
Mkuu mbona haueleweki?Unasemaje?
 
Kulima na kufanikiwa nihatua moja..
Hatua nyingine ni kujifunza namna mbalimbali za kusindika mazao yetu .
Na pia kutafuta masoko nje ya Mipaka yetu.
 
Nadhani tunatumia muda mwingi kujadili matatizo badala ya masuluhisho, unapo sema mzunguko wa fedha mbovu, ama sera mbaya wakati huna uwezo wa kuzibadilisha ni sawa sawa na kupoteza muda na kuibua madonda ya tumbo.

Binafsi na unga mkono hoja wa kufanya Tafiti ya kina sio kwenye kilimo tu la hasha kwenye ujasiliamali wowote ule kwani mambo yanabadirika sana na vile vile ni vyema tukajikita katika kuongeza thamani kwenye mazao ya mashambani mfano unapolima nyanya jaribu kufikiria namna bora ya kuzichakata kwavyo ukiwa umezifanyia packaging no rahisi sana kaka perishable product kukaa muda mrefu.

Kwenye huo mfano wa nyanya mathalani mwaka jana kulikua na mwamko mkubwa wa kilimo cha nyanya hivyo mazao yalikuwa mengi sana lakini factor ya demand bado tuliendelea kutegemea traditional market ile ile sasa kwa mtu aliyefanya Tafiti ya kutosha agharabu angeweza kufanya usindikaji wa hizo nyanya ambayo ni very cheap and simple technology lakini hata kama angekuwa na changamoto za kutokuwa na maarifa ya kusini kusindika na endapo a alifanya tafiti ya mnyororo wa thamani wa zao analotaka kupanda basi angeweza kufahamu kwamba demand ya nyanya haikuwa equally distributed nchini mwetu achilia mbali issue ya export market hivyo angefahamau kwamba wakati kuna ziada ya uzalishaji mathalani Morogoro bado shinyanga kulikua na demand kubwa hivyo kama angewekeza vizuri katika tafiti yake angekuwa na njia ya kusafirisha na namna bora ya kuwafikia wateja wake.

Ushauri wangu wa jumla tuache kulalamika na kutumia muda mwingi kujadili matatizo badala ya majawabu.

fungolee@gmail.com
0714 764 589
 
Nadhani tunatumia muda mwingi kujadili matatizo badala ya masuluhisho, unapo sema mzunguko wa fedha mbovu, ama sera mbaya wakati huna uwezo wa kuzibadilisha ni sawa sawa na kupoteza muda na kuibua madonda ya tumbo.

Binafsi na unga mkono hoja wa kufanya Tafiti ya kina sio kwenye kilimo tu la hasha kwenye ujasiliamali wowote ule kwani mambo yanabadirika sana na vile vile ni vyema tukajikita katika kuongeza thamani kwenye mazao ya mashambani mfano unapolima nyanya jaribu kufikiria namna bora ya kuzichakata kwavyo ukiwa umezifanyia packaging no rahisi sana kaka perishable product kukaa muda mrefu.

Kwenye huo mfano wa nyanya mathalani mwaka jana kulikua na mwamko mkubwa wa kilimo cha nyanya hivyo mazao yalikuwa mengi sana lakini factor ya demand bado tuliendelea kutegemea traditional market ile ile sasa kwa mtu aliyefanya Tafiti ya kutosha agharabu angeweza kufanya usindikaji wa hizo nyanya ambayo ni very cheap and simple technology lakini hata kama angekuwa na changamoto za kutokuwa na maarifa ya kusini kusindika na endapo a alifanya tafiti ya mnyororo wa thamani wa zao analotaka kupanda basi angeweza kufahamu kwamba demand ya nyanya haikuwa equally distributed nchini mwetu achilia mbali issue ya export market hivyo angefahamau kwamba wakati kuna ziada ya uzalishaji mathalani Morogoro bado shinyanga kulikua na demand kubwa hivyo kama angewekeza vizuri katika tafiti yake angekuwa na njia ya kusafirisha na namna bora ya kuwafikia wateja wake.

Ushauri wangu wa jumla tuache kulalamika na kutumia muda mwingi kujadili matatizo badala ya majawabu.

fungolee@gmail.com
0714 764 589
Mkuu nyanya unaisindikaje?

Kitunguu nach0 unakifanyaje?
 
Nadhani tunatumia muda mwingi kujadili matatizo badala ya masuluhisho, unapo sema mzunguko wa fedha mbovu, ama sera mbaya wakati huna uwezo wa kuzibadilisha ni sawa sawa na kupoteza muda na kuibua madonda ya tumbo.

Binafsi na unga mkono hoja wa kufanya Tafiti ya kina sio kwenye kilimo tu la hasha kwenye ujasiliamali wowote ule kwani mambo yanabadirika sana na vile vile ni vyema tukajikita katika kuongeza thamani kwenye mazao ya mashambani mfano unapolima nyanya jaribu kufikiria namna bora ya kuzichakata kwavyo ukiwa umezifanyia packaging no rahisi sana kaka perishable product kukaa muda mrefu.

Kwenye huo mfano wa nyanya mathalani mwaka jana kulikua na mwamko mkubwa wa kilimo cha nyanya hivyo mazao yalikuwa mengi sana lakini factor ya demand bado tuliendelea kutegemea traditional market ile ile sasa kwa mtu aliyefanya Tafiti ya kutosha agharabu angeweza kufanya usindikaji wa hizo nyanya ambayo ni very cheap and simple technology lakini hata kama angekuwa na changamoto za kutokuwa na maarifa ya kusini kusindika na endapo a alifanya tafiti ya mnyororo wa thamani wa zao analotaka kupanda basi angeweza kufahamu kwamba demand ya nyanya haikuwa equally distributed nchini mwetu achilia mbali issue ya export market hivyo angefahamau kwamba wakati kuna ziada ya uzalishaji mathalani Morogoro bado shinyanga kulikua na demand kubwa hivyo kama angewekeza vizuri katika tafiti yake angekuwa na njia ya kusafirisha na namna bora ya kuwafikia wateja wake.

Ushauri wangu wa jumla tuache kulalamika na kutumia muda mwingi kujadili matatizo badala ya majawabu.

fungolee@gmail.com
0714 764 589

Ahsante kwa mchango mzuri.Akili nzuri inayotumika vizuri huchangia yenye tija.Dawa ya tatizo ni kutafuta suluhisho siyo kulalamika.Ahsante kwa maarifa.
 
Ahsante kwa mchango mzuri.Akili nzuri inayotumika vizuri huchangia yenye tija.Dawa ya tatizo ni kutafuta suluhisho siyo kulalamika.Ahsante kwa maarifa.

Wewe na huyo jamaa mnongea nadharia tupu. Hebu njooni mlime halafu huyo jamaa atumie hizo mbinu zake.
 
Wewe na huyo jamaa mnongea nadharia tupu. Hebu njooni mlime halafu huyo jamaa atumie hizo mbinu zake.

Ninalima ndugu yangu sema unataka nikupeleke shambani kwangu.Kwa kuwa u Tomaso ngoja nikupe somo moja ukiwa mkweli lete taarifa mtandaoni.Peleleza bei ya Limau leo.Fuatilia mwenendo wa bei yake kwa miezi 6 iliyopita.Fikiri usisubiri kutafuniwa kila kitu,nimekutajia hili kwa kuwa linahitaji uvumilivu.

Nitakupa mwenendo wa zao rahisi,mlilalamika bei ya nyanya lete taarifa ya nyanya leo huko Tanga,Mbeya na Morogoro.Tusilime kwenye simu,laptop,Ipad na Kompyuta kubwa.
 
Ninalima ndugu yangu sema unataka nikupeleke shambani kwangu.Kwa kuwa u Tomaso ngoja nikupe somo moja ukiwa mkweli lete taarifa mtandaoni.Peleleza bei ya Limau leo.Fuatilia mwenendo wa bei yake kwa miezi 6 iliyopita.Fikiri usisubiri kutafuniwa kila kitu,nimekutajia hili kwa kuwa linahitaji uvumilivu.

Nitakupa mwenendo wa zao rahisi,mlilalamika bei ya nyanya lete taarifa ya nyanya leo huko Tanga,Mbeya na Morogoro.Tusilime kwenye simu,laptop,Ipad na Kompyuta kubwa.
Usikazanie kuangalia current demand ya zao fulani pekee ukasahau kuangalia supply itakavokua msimu wa mavuno.

Kwani kitunguu mwaka jana kama huu ilikua inatafuta200 lakini muda kama huu leo ukioata 100 ufurahi?
Hata utumie model gani hautajua supply itakuaje.
 
Usikazanie kuangalia current demand ya zao fulani pekee ukasahau kuangalia supply itakavokua msimu wa mavuno.

Kwani kitunguu mwaka jana kama huu ilikua inatafuta200 lakini muda kama huu leo ukioata 100 ufurahi?
Hata utumie model gani hautajua supply itakuaje.
Let stop complaining and start stategizing, it can be done play your part badala ya kutumia energy nyingi kwenye kulalamika , lengo letu ni kubadilishana uzoefu na unaposema hakuna model au namna unayoweza kufanyia maoteo hii sio sahihi. Nadhani ni vyema tukajikita kwenye kuibua changamoto halafu tushirikiane kutafuta majawabu badala ya kulalamika tu wakati no body will take care of you.

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 
Bla blah blah,kwanza unaongea tu and u knw shit about actual farming. Just a theoretical lad.Eti tafiti tafiti...Kwahiy unaweza fanya tafiti ukajua exactly bei itakuaje wakati wa mavun0.

Im very sure hujawafi kulima hata mchicha wewe
Jadili usipayuke.Unalima nini? Huwezi kujua bei kamili unaweza kujua mwelekeo wa bei.Nitakupa hali halisi nawewe lete uzoefu wako.Maeneo yote ya Tanzania yanayolima mahindi( nyanda za juu kusini inaongoza) Msimu wa mavuno miaka yote msimu wa mavuno bei za mahindi huwa chini mno.Msimu wa mavuno huanzia Juni-Agosti.Miezi 6 baadaye kuanzia Disemba -Februari bei hupanda. Mtiririko huu ni wa miaka yote na mabadiliko yoyote yanapotokea kuhusina na mtiririko huo wa bei wenyeji wa maeneo hayo hushangaa.

Kuanzia Machi-Mei bei huanza kuteremka.Siongelei nadharia wala utafiti,naongelea hali halisi.
Nimezaliwa katika familia ambayo kilimo ilikuwa sehemu ya maisha yetu.Nimejifunza kupanda kwa mbolea,kupanda kwa mistari na vipimo na kupalilia kwa wakati nyumbani kwa baba yangu na shuleni.Shuleni tulianza kufundishwa mbinu za kilimo kupitia kipindi kilichokuwa kinaitwa EK.

Nyumbani kwa baba na mama yangu kwa vitendo tulikuwa na kalenda ya matukio ya kilimo,tulimudu kuvuna gunia 15,20,25 na hatimaye mama yangu mzazi akafikisha gunia 33 kwa ekari moja.

Ninajua kilimo cha kujitegemea kwa kila familia,kusubiri misaada kutoka serikalini na kwa wafadhili.Uvunaji wa gunia 33 ilitokana na msaada wa nyenzo,utaalam na ufuatiliaji wa Sasakawa 2000.

Hizi si blabla ,lete uzoefu wako tujadiliane.
 
[QUuOTE="bukoba boy, post: 19279229, member: 269079"]Usikazanie kuangalia current demand ya zao fulani pekee ukasahau kuangalia supply itakavokua msimu wa mavuno.

Kwani kitunguu mwaka jana kama huu ilikua inatafuta200 lakini muda kama huu leo ukioata 100 ufurahi?
Hata utumie model gani hautajua supply itakuaje.[/QUOTE]

Umekuja na hoja yenye tija nitakujibu.Fuatilia mwenendo wa zao unalotaja kwa kila msimu.Jifunze kuzalisha kipindi ambacho uzalishaji upo chini,baini maeneo yenye uzalishaji mkubwa,fuatilia misimu yao ya uzalishaji ikwepe kisha lete mrejesho.

Kufuatilia mwenendo wa 'supply and demand' wa zao unalotaka kuzalisha ni muhimu mno.Nadharia zinatutaka tujiulize 5Ws .

Nimeomba mrejesho wa bei ya nyanya kwa msimu uliopo maana ni moja kati ya mazao tuliyolalamikia sana kuhusu bei yake.Ninaomba waliopo Mbeya,Morogoro na Tanga kuhusiana na bei ya nyanya.
 
Back
Top Bottom