Huko mashariki ya Congo (DRC) wanaume hawataki kuwarudia wake zao waliobakwa na waasi.
Sababu ya mwanamke kubakwa ni kwamba alimficha mume wake asiuwawe na waasi,ndo akaipata hiyo kama adhabu.
1.mwanamme anafanya kosa kumuacha mkewe,ni ukatili mkubwa sana.
2. Inatakiwa amtibu na kwenda kumpima ili aone kama kaambukizwa au la
3.baada ya hapo wataamua waishi vipi.
4.kumbuka kwenye maisha kuna tabu na raha,utajiri na umaskini,dhiki na faraja.
5.kifo ndicho kitakachowatenganisha.
huko mashariki ya congo (drc) wanaume hawataki kuwarudia wake zao waliobakwa na waasi.
Sababu ya mwanamke kubakwa ni kwamba alimficha mume wake asiuwawe na waasi,ndo akaipata hiyo kama adhabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.