Hawa wasichana nao mbona wanahangaika sana!!! Hii ndio mshahara wake. Hawajui kuwa uchangu dhambi??? Tena wengine wanakufa na hao hao wazungu. Sijui tufanyeje maana hawaachi kwa hiyo hii itaendelea. Si mara ya kwanza hiki kutokea.
Wana JF.
Raia mmoja wa Marekani (jina tunalo) amemsakizia mbwa, msichana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 21, na kumsimamia mbwa huyo katika kumwingila msichana huyo kinyume cha maumbule na kumsababishia maumivu makali.
Mzungu huyo ambaye ni mhandisi wa umeme katika mradi mmoja wa umeme wilayani Kiteto, alifanya hivyo januari Mosi mwaka huu, muda mfupi baada ya yeye mwenyewe, kumaliza kumbuka msichano huyo.
Habari zilizothibitishwa na diwani wa kata ya Matui, Othaman Kidawa.
Alisema unyama huo ulifanyika baada ya mhandisi huyo kumnywesha msichana huyo pombe.
SOURCE: MWANANCHI JANAURI 7 2012