Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
- Thread starter
- #81
ni vema ungeripoti polisi pia,
nawaombeni kinadada tuache kubabaika na wageni haswa wazungu hayo ndo madhara yake.
Pole sana kwa yaliyomkuta.
Nasikia wameripoti lakini nani wa kumkamata muwekezaji wa umeme?