Mm stak dem saiv na mishangaz?

Mm stak dem saiv na mishangaz?

Nakuchukia sana

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
594
Reaction score
1,182
Kwanza nimepatana na la mama hapa wa miaka 40,licha ya mimi kua nn miaka 28,anipa raha kweli situmii ela yangu natumia ya kwake.japo amenizid kiumri,ila mishangaz mnatujal san ss vijana wadogo yan hata demu hawezi akanijali hiv,ila mishangaz kweli wazuri.unapg show unahisi upo ulaya.anachonpendeya anasema mm nnamtosheleza kimapenz,si unajua vijana wadogo tulivyo na mioto mishangaz na wake za watu siwaachi daima.kwan hii bong stunashea mapenz
 
Hujui matumizi ya herufi kubwa?
Hujui kuacha nafasi kati ya neno na neno?
Hujui matumizi ya nukta?
Hujui kuandika maneno kamili?

Sijaelewa ulichokiandika, lakini pole sana kwa changamoto yako, Jaribu kufikisha taarifa kituo cha polisi.
 
Mshangazi utakula pesa zake sawa lakini na wewe uwe fundi uwanjani magoli ya mashuti ya mbali sio magoli ya kona Utachekesha!
 
Kwanza nimepatana na la mama hapa wa miaka 40,licha ya mimi kua nn miaka 28,anipa raha kweli situmii ela yangu natumia ya kwake.japo amenizid kiumri,ila mishangaz mnatujal san ss vijana wadogo yan hata demu hawezi akanijali hiv,ila mishangaz kweli wazuri.unapg show unahisi upo ulaya.anachonpendeya anasema mm nnamtosheleza kimapenz,si unajua vijana wadogo tulivyo na mioto mishangaz na wake za watu siwaachi daima.kwan hii bong stunashea mapenz
Content creator anayelipwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom