Ni kampuni inayotoa huduma ya ulinzi na usafi maofisini, majumbani, kwenye kumbi za starehe,bank, mashuleni, hospitalini, makanisani n.k kwa mkataba wa masaa, siku, wiki, mwezi, mwaka na kuendelea. huduma zetu ni safi, salama na nafuu ofisi zetu zinapatikana TEGETA KIBAONI DAR ES SALAAM, KIGOMA, NA TABORA karibuni wote, kwa mawasiliano zaidi piga 0759224083 au 0714104788