Mlitegemea CCM waache mema yote haya

Mlitegemea CCM waache mema yote haya

kiberee

Member
Joined
Jul 30, 2014
Posts
8
Reaction score
1
Walioshika Mpini wako tayar kusimamia chao kwa gharama yeyote maana hamna kitu kinatisha kama njaa

Swali ni moja tu sisi ambao tunataka mabadiliko je tupo tayari kumaanisha kusimamia tunachohitaji kwa ajili ya kesho yetu

Wa tz ni waoga na wasiothubutu kufanya kitu cha tofauti pamoja na kero zote hizi bado watu wameona kama jambo la mabadiliko mpaka waje wazungu ndo watusaidie

Tutabaki tunashuhudia maigizo ya vya vya siasa mpaka lin
 
Ujinga umejaa tz,tena nawalaumu walimu kwan wao ndo wako na jamii karibu ila walivyo wajinga hata mateja wanawazid akil.
 
Ujinga umejaa tz,tena nawalaumu walimu kwan wao ndo wako na jamii karibu ila walivyo wajinga hata mateja wanawazid akil.

Acha kutukna walimu wewe, siyo wajinga kama wewe unayefikiri mabadiliko yanaletwa na machafuko.
 
Walioshika Mpini wako tayar kusimamia chao kwa gharama yeyote maana hamna kitu kinatisha kama njaa

Swali ni moja tu sisi ambao tunataka mabadiliko je tupo tayari kumaanisha kusimamia tunachohitaji kwa ajili ya kesho yetu

Wa tz ni waoga na wasiothubutu kufanya kitu cha tofauti pamoja na kero zote hizi bado watu wameona kama jambo la mabadiliko mpaka waje wazungu ndo watusaidie

Tutabaki tunashuhudia maigizo ya vya vya siasa mpaka lin
Fanyakazi wewe acha kupoteza muda wako na umbea, maendeleo yataletwa na wewe kwa kufanyakazi na siyo kulalama
 
Ndo nipo kazini hapa ...
Na hii ndo kazi tunatakiwa tuifanye kwanza maana bila kuziba matobo huwezi jaza maji kwenye pipa utazeeka unachotea maji tu na hawa wanamazingaimbwe wameshatoboa matobo
 
Nakuunga mkono mleta mada. Ujinga ukituishia nchi yetu itakuwa na maendeleo ujapata kuona. Tatizo wajinga tuko wengi wajanja wachache wanatukamua kila kukicha. Ipo siku ujinga ukikoma patachimbika
 
Back
Top Bottom