Umenichekesha na kunikumbusha mbali sana mkuu, kwani hayo uliyoandika ndo yaliyokua yakinikuta hata mimi. Mbaya zaidi kuna wakati kiliniangusha tukiwa tunaota moto wa mkaa kwenye kigae na kunifanya niungue sehemu za magoti, bahati nzuri kulikua na wakubwa na kwa sababu nilikua mtoto makovu yake kwa sasa yanaonekana kwa mbali sana.
Kimenisumbua Sana Udogoni Hicho Kiti Apologise lady Vipi Ushawai Kukiona?
Hiki Kiti Kilikuwa Kinatumiwa Sana Na Mababu Wa Zamani Sana Ambao Viuno Vyao Vilikuwa Vimekazwa Sana Kwa Shughuri Za Kilimo Hivyo Kiti Cha Namna Hiyo Kilitumika Kunyonyea Mgongo Baada Ya Shughuri Za Shamba Je Kilikuwa Kinaitwaje Mie Sina Kumbukumbu Na Jina Lake
Hicho kiti kinaitwa "kiti cha Marimba"