Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,655
- 8,584
Hiki Kiti Kilikuwa Kinatumiwa Sana Na Mababu Wa Zamani Sana Ambao Viuno Vyao Vilikuwa Vimekazwa Sana Kwa Shughuri Za Kilimo Hivyo Kiti Cha Namna Hiyo Kilitumika Kunyonyea Mgongo Baada Ya Shughuri Za Shamba Je Kilikuwa Kinaitwaje Mie Sina Kumbukumbu Na Jina Lake