Mliotoboa Law School Mlifanyaje Wenzangu?

Mliotoboa Law School Mlifanyaje Wenzangu?

Kalamu Nzito

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2015
Posts
376
Reaction score
850
Habari wana JF,
Kwakweli nimekwama Law School mwaka wa nne huu sasa unaenda. Nilipambana sana nisishikwe hata somo moja. Bahati haikua upande wangu nikakamatwa somo moja. Mpaka leo linanitesa. Napata michongo ya kazi ila naambiwa kama sina muhuri haitowezekana.
Wakuu mliomaliza aidha first seat au kwa kuchomoa kimeo mlifanyaje wenzangu? Mpaka sasa nimeshachoma takribani milioni 2.5 safari za kwenda na kurudi kufanya supplimentary. Hii ni zaidi ya ada niliyolipa wakati huo. Natoboaje wakuu?
Mwenye mchongo unaoweza kunisaidia nisikae mpweke wa ajira naomba anisaidie. Tuwasiliane kupitia email moderncentury5@gmail.com
 
Habari wana JF,
Kwakweli nimekwama Law School mwaka wa nne huu sasa unaenda. Nilipambana sana nisishikwe hata somo moja. Bahati haikua upande wangu nikakamatwa somo moja. Mpaka leo linanitesa. Napata michongo ya kazi ila naambiwa kama sina muhuri haitowezekana.
Wakuu mliomaliza aidha first seat au kwa kuchomoa kimeo mlifanyaje wenzangu? Mpaka sasa nimeshachoma takribani milioni 2.5 safari za kwenda na kurudi kufanya supplimentary. Hii ni zaidi ya ada niliyolipa wakati huo. Natoboaje wakuu?
Mwenye mchongo unaoweza kunisaidia nisikae mpweke wa ajira naomba anisaidie. Tuwasiliane kupitia email moderncentury5@gmail.com
Pascal Mayalla mshauri huyu jamaa namna ya kutoboa huko law school
 
Habari wana JF,
Kwakweli nimekwama Law School mwaka wa nne huu sasa unaenda. Nilipambana sana nisishikwe hata somo moja. Bahati haikua upande wangu nikakamatwa somo moja. Mpaka leo linanitesa. Napata michongo ya kazi ila naambiwa kama sina muhuri haitowezekana.
Wakuu mliomaliza aidha first seat au kwa kuchomoa kimeo mlifanyaje wenzangu? Mpaka sasa nimeshachoma takribani milioni 2.5 safari za kwenda na kurudi kufanya supplimentary. Hii ni zaidi ya ada niliyolipa wakati huo. Natoboaje wakuu?
Mwenye mchongo unaoweza kunisaidia nisikae mpweke wa ajira naomba anisaidie. Tuwasiliane kupitia email moderncentury5@gmail.com
Kula vizuri Fanya mazoezi no sex utatoboa
 
Pascal Mayalla mshauri huyu jamaa namna ya kutoboa huko law school
Pascal nakuomba msaidie huyo kijana,kwani we ulipitaje huko?, Bilashaka una uzoefu.
Bahati mbaya sana mimi ni wale wa longi kabla ya kuanzishwa kwa LST!, ila hii issue ya LST soon inakwenda ukingoni, kila LL.B recipient atamaliza na kupewa muhuri na practicing certificate!.
P
 
Back
Top Bottom